Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 684
- Thread starter
- #121
Muadilifu uko sahihi, siyo sawa kuzidisha 350,000 x 315,000 x 12 kwa sababu kwa kufanya hivyo tuna assume kuwa wafanyakazi wote watalipwa kima cha chini. Hata hivyo hebu tujaribu kufanya makisio tu kuwa kwa wastani wafanyakazi wote wa serikali watalipwa Sh. 1,200,000 kwa mwezi, bado hatutapata tririon 6 za JK! Kumbuka wafanyakazi wengi wa serikali ni waalimu na manesi ambao mishahara yao hata akiongeza hicho kima cha chini, haitafika wastani wa 700,000.
Number of staff 350,000 Average salary per staff 1,200,000 No. of months to be paid 12 Total Salaries per anum 5,040,000,000,000 ADD: GVT 15% contribution to Pension schemes 756,000,000,000 Total Salaries +15% Pension contributions 5,796,000,000,000
Asante sana mkuuu