Ni kweli mchumba hasomeshwi?

Unabaki navyo kama kumbukumbu tu kama dr.slaa alivyobaki na kadi ya ccm
 
Ole wenu nyie vijana na wanaume mnaojifanya mnajua kupenda na kuwagharamia mabinti kwa madai eti ni wachumba wenu hali ya kuwa makwao hamfahamiki. Mwisho mnakijikuta mnawatunzia wenzenu. Hakuna swala bila ya udhu.
 
Me wangu nimemsomesha mwenyewe na hivi sasa tuna watoto 3 ana kazi nzuri na maisha yanaenda fureeesh.....natafuta mchepuko nao niupekeke shule, kama pesa iko hata ikikuacha haina shida si umemtengenezea life yake? Tenda wema kimbia.
 
Mkuu mi naona nikikutafuta utaniongezea stress..Hiki kikombe ngoja nikikabiri tu..Thanx btw
 
Utamkumbuka chris brown na lil wayne walivyoimba these girls ain't loyal... Kipindi hicho mtoto ndio kamaliza research *****!!! Full Nyodo huku akikwambia we sio type yakeee mxieeeewwww!!!
 
Ila kugonga ruksa?
 
si kweli mbona mie nasomeshwa na mchumba'ngu na sina mawazo ya kumuacha labda kama ulikuwa unapenda msaada wake na si mwenyewe
 
Ni kweli mchumba hasomeshwi kwa sababu!

Jukumu la kusomesha ni la mzazi ,mlezi au ndugu wa mhusika!

Ukisha anza kumsomesha mpenzi moja kwa moja umechukua majukumu ya watu nilio wataja hapo juu!

Hivyo utakuwa huna tofauti na hao watu hapo juu!

Kimsingi watu nilio wataja hapo juu kama ndugu,wazazi na walezi hawana uwezo wa kulala nae au kutembea na binti yao na hata wakifanya hivyo ni laana!

Hivyo basi kwakuwa wewe umegeuka Baba na mama au walezi wake hatoweza kutembea na wewe itambidi atafute mtu mwingine!

Ndio maana wengi walio fanya majukumu hayo ya wazazi waliachwa na si bahati mbaya bali ndio taratibu!

Hivyo kama una hela za kusomesha basi msomeshi ndugu yako na si mtu unaye taka kulala nae.
 
SIO WOTE WANAKUJA KUOTA MAPEMBE...SASA KWA MFANO KAMA SINA WAZAZI TANGU UDOGONI NASAIDIWA TU THEN NIMEKOSA ADA YA KUJIUNGA CHUO JAPO NKAPATA KADIPLOMA,NAKUTANA NA MWANAUME ANANIHITAJI KIMAHUSIANO SERIOUS NA NAMWAMBIA UKWELI NNA SHIDA NA NAPENDA KUTIMIZA NDOTO ZANGU NAOMBA UWE SEHEMU YA MSAADA KWANGU...HALAF YE ANANIJIBU "POLE BBY,MUNGU ATAKUSAIDIA...BASI JITAHIDI KUTAFUTA MSAADA HIVOHIVO UENDE CHUO..BLAH BLAH BLAH!!!
HIVI MNAELEWA MAANA YA NENO NAKUPENDA AU MNALITAMKA TU?WHY MNAGERALIZE ISHU YA MMOJA KUWA WOTE WAKO HIVO?
 
utaingiliaje majukumu ya wengine umekuwa mzazi wewe
 

loya hahahahah ndio maana hata mke akisomeshwa anaanza kudharahau kumbe ni laana lol
 

Anasomeshwa lakini lazima kuwe na mkataba ambao utasimamiwa na lawyer i.e. notary public ili kuahakikisha kama mkataba ukivunjwa basi pesa inarudishwa na ka-interest kidogo. Na ni gharama zote kuanzia accommodation, meals, books, stationery, transport, clothing, research, etc. Huyo mchumba akikataa ku-sign hiyo contract basi ujue hapo hamna kitu. Ila mke wa ndoa ndio wa kusomesha kwa sababu tayari unaye na elimu yake ni guaranteed kunufaisha familia yako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…