Nimepata hii toka kwa Askofu mmoja mstaafu na kutoka idara ya miliki ya kkt, ni kuhusu kiwanja kilichojengwa kanisa la KKT Mbezi Beach. Kiwanja kile waliuziwa na TBL kwa msukumo wa mzee Arnold Kilewo mkurugenzi TBL wakati huo.
Wakati huo Lowassa alikuwa Waziri wa Ardhi. Kwa kutumia wadhifa wake huo, alilizimisha kiwanja kile kikagawanywa mara mbili, yeye akajimilikisha sehemu na nyingine ikabaki kwa kanisa. Kwa ushahidi, ni kuwa sehemu aliyojimilikisha ndiyo amejenga supermarket anayomiliki yeye na Adam kimbisa.
UFISADI KWA HUYU MZEE ULIANZA ZAMANI
-----------
On JF - July 11, 2011
Wakati huo Lowassa alikuwa Waziri wa Ardhi. Kwa kutumia wadhifa wake huo, alilizimisha kiwanja kile kikagawanywa mara mbili, yeye akajimilikisha sehemu na nyingine ikabaki kwa kanisa. Kwa ushahidi, ni kuwa sehemu aliyojimilikisha ndiyo amejenga supermarket anayomiliki yeye na Adam kimbisa.
UFISADI KWA HUYU MZEE ULIANZA ZAMANI
-----------
On JF - July 11, 2011
Kwa kifupi huyu Lowassa anataka kuikoleza laana iliyomwangukia.
Tuna habari ya wizi wa kiwanja cha Kanisa la KKKT-Mbezi Beach, ambapo Lowassa amekinyang'anya nusu ya kiwanja na kuwapa ndugu zake na kingine anajenga jengo la ghorofa 4.
Lowassa anatakiwa kutubu mbele ya kanisa aliowanyang'anya kiwanja hicho ili asamehewe