Hivi ulikuwa unamaanisha nini hapa?
kwa hiyo mkuu unabisha ukiwa na uhakika au unabisha kwa kuwa hujui sumu ya nyoka inakaa sehemu gani mwilini mwake?
Hata mate ya binadamu ni sumu kwa nyoka. Indocid (yes, ile dawa ya kutuliza maumivu kwa binadamu) ni sumu kali kwa panya!
Panya gani wanaokufa kwa indocid?mie nilitega unga wa indocid kwenye chakula nillikuta panya tena mmoja aliyekuwa ananisumbua amekula chakula chote nikadhani angekufa!Kesho yake alikuja hadi kwenye net usiku!bonge la panya ila nilimnasa kwa gundi nikamuua.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
wangekua walishakufa wengi siamini haya mambo ya fiction story
Ni kweli ila sio muda wote inakua ni wakati wa usiku wa manane pindi kuku akiwa kalala fofofo huwa sumu inajikusanya kwenye kucha na mdomoni ili kujilinda na adui yeyote, na si vyema wakati huo kumshika kwa ghafla inabidi umshitue kwanza ndipo umkamate
Elimu na iwe msingi wa kujitambua, kuchambua na kujenga hoja kwa mantiki sahihi.
Ninachoona mimi ni kilekile,, tunaishi kwa Gossip!! we kama kuku ana sumu zaidi ya nyoka ungeweza kula kichwa chake? just by simple reasoning, inawezekana? eti ugune ajue we ni binadamu, kwani binadamu hawezi kumdhuru?
Akili ndogo isiachwe itawale akili kubwa, elimu sio kujua kusoma ama kutengeneza magari etc, iwe njia ya kupanua uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja.
mk1
Kwa hiyo akishasikia ni binadam ndio hakudonoi?sijui ni kwa nini uongo na uzushi huenea kwa kasi na haraka kuliko ukweli.
Hakuna kitu kama hiyo mkuu,huo ni uongo na uzushi mkubwa,nyoka kitaalam ana mishipa baadhi ya sum sio mwili wote,je kuku hiyo sumu inakaa wapi?.
hii nimewahi kusikia pia!!
Panya gani wanaokufa
kwa indocid?mie nilitega unga wa indocid kwenye chakula nillikuta panya
tena mmoja aliyekuwa ananisumbua amekula chakula chote nikadhani
angekufa!Kesho yake alikuja hadi kwenye net usiku!bonge la panya ila
nilimnasa kwa gundi nikamuua.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kwa hiyo akishasikia ni binadam ndio hakudonoi?sijui ni kwa nini uongo na uzushi huenea kwa kasi na haraka kuliko ukweli.
Hakuna kitu kama hiyo mkuu,huo ni uongo na uzushi mkubwa,nyoka kitaalam ana mishipa baadhi ya sum sio mwili wote,je kuku hiyo sumu inakaa wapi?.
mkuu wezi nao ni binadamu hivyo huweza kuwasha tochi ili kuweka wazi ubinadamu wao,kwa maana hiyo kuku lazima atulie!wezi wakuku wanayajua haya unayoyasema..basi tungekuwa tushazika wengi na kuku wasingeibiwa nyumbani kwetu