Hii mada kama ilivyo ni ngumu sana
Usiku wa manane hapana. Kuku hata mchana akimdonoa nyoka lazima afe ndugu yangu. Na kawaida anaemuwahi mwenzie lazima afe. Kwa binadamu hapo cna hakika kama inamdhuru au la
Tena wataalamu wa ecolojia / ecology kabisa, ila kwa elimu ya biology yangu ya form IIIB naweza kusema si kweli bali HIZO NI FUNUNU vinginevyo Singida kwenye kuku wengi kila siku kungekua na misibangoja wataalamu waje nami pia nahitaji kujifunza kitu hapa.
...nyoka kitaalam ana mishipa baadhi ya sum sio mwili wote,je kuku hiyo sumu inakaa wapi?.
Huenda yakawa maneno ya ukweli ndani yake...............
Kwa hiyo akishasikia ni binadam ndio hakudonoi?sijui ni kwa nini uongo na uzushi huenea kwa kasi na haraka kuliko ukweli.
Hakuna kitu kama hiyo mkuu,huo ni uongo na uzushi mkubwa,nyoka kitaalam ana mishipa baadhi ya sum sio mwili wote,je kuku hiyo sumu inakaa wapi?.
mm sioni why mnabisha kiukweli kila mnyama na mmea huwa unakuwa na namana ya kujilinda na adui.
defenc mfano kinyonga kubadilika rangi.
mpera kutereza na mengine mengiiii.
sasa kwakuku nikweli kuwa akikudonoa au kukukwaruza na kucha kiukweli ni hatari sana.
sio mda wote kuku akikudonoa unadhurika Bali Mara NYINGI wakati wa usiku na hasa akiwa kalala na kuku mwenye vifaranga na mayai ni hatari zaidi .kwani usiku huwa care anajua mda wote adui zake wanavizia mayai au vifaranga
mm sioni why mnabisha kiukweli kila mnyama na mmea huwa unakuwa na namana ya kujilinda na adui.
defenc mfano kinyonga kubadilika rangi.
mpera kutereza na mengine mengiiii.
sasa kwakuku nikweli kuwa akikudonoa au kukukwaruza na kucha kiukweli ni hatari sana.
sio mda wote kuku akikudonoa unadhurika Bali Mara NYINGI wakati wa usiku na hasa akiwa kalala na kuku mwenye vifaranga na mayai ni hatari zaidi .kwani usiku huwa care anajua mda wote adui zake wanavizia mayai au vifaranga
Elimu na iwe msingi wa kujitambua, kuchambua na kujenga hoja kwa mantiki sahihi.
Ninachoona mimi ni kilekile,, tunaishi kwa Gossip!! we kama kuku ana sumu zaidi ya nyoka ungeweza kula kichwa chake? just by simple reasoning, inawezekana? eti ugune ajue we ni binadamu, kwani binadamu hawezi kumdhuru?
Akili ndogo isiachwe itawale akili kubwa, elimu sio kujua kusoma ama kutengeneza magari etc, iwe njia ya kupanua uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja.
mk1
Niliwahi kumsikia mtaalamu mmoja anasema hata mate ya binadamu mwenye hasira huwa na sumu kali kuliko ya nyoka aina ya cobra.
nilishangaa sana.
so hayo ya kuku huenda yana ukweli.
Niliwahi kumsikia mtaalamu mmoja anasema hata mate ya binadamu mwenye hasira huwa na sumu kali kuliko ya nyoka aina ya cobra.
nilishangaa sana.
so hayo ya kuku huenda yana ukweli.
Mkuu hebu soma tena nilichosema hapo kwenye red.mkuu unaweza kuthibitisha maneno yako kwa mfano hai japo mmoja tu!?
maana tunaona kila siku El Hadji Diof akikasirika uwanjani anawatemea mate wenzie