Barabara ya Njia nne ya kulipia kutoka Kibaha hadi Morogoro kujengwa kwa zaidi ya Dola Milioni 800

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Kampuni tano zimeshaingia kwenye hatua ya manunuizi ili kushinda zabuni ya Ujenzi wa barabara ya njia nne zitakazokuwa za kulipia kutoka Kibaha hadi Morogroro ili kuondoa msomngamano uliopo.

Kamishna wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. David Kafulila amesema hii ni dhamira ya Serikali kutekeleza Ujenzi wa mfumo huo ili kuharakisha maendeleo.

"Kampuni kubwa tisa za kimataifa zilijitokesha, mchakato wa kwanza kwaajili ya kuzitathimini na kuamua ni kampuni zipi ziingie hatua za manununuzi na Kampuni tano zilibaki na ndizo zinaenda kuleta mapendekezo ya manna gani kila moja inafikiri inaweza kujenga Mradi huo.

“Ni mradi mkubwa sana ni Mradi wa Njia nne. Fikra ni kujenga Lami ambayo inaweza kuchukua miaka 30 mpaka 35 bila kufanyiwa marekebisho Makubwa. Kutoka kibaha mpaka Chalinze km 78.9 inaweka ikagharamu takribani dola 340 na kutoka chalinze Morogoro inaweza kugarimu Dola Milioni 500. Unaona kwamba ni zaidi ya Dola milioni 800 kujenga kiwango hicho cha barabara ya Lami.“ Amesema Bw. David Kafulila

Lengo la Serikali ni kuunganisha Dar na Dodoma kwa haraka zaidi. Kafulila amesema taratibu za kupata Mzabuni wa kujenga barabara kutoka Morogoro hadi Dodoma zinaendelea.

"Pesa ambazo Serikali ingezitumia kujenga barabara hizo sasa itazipeleka maeneo mengine. Ndio maana ya ubia, kwamba sekta binafsi inafanya jukumu ambalo Serikali ingefanya ili Serikali ibaki na majukumu ambayo sekta binafsi haiwezi kuingiza mtaji wake. lakini pia haiondoi jukumu la Serikali kuendeleza barabara zake kwani barabara za kulipia zinazoendeshwa na sekta binafsi zinaenda sambamba na barabara zinazosimamiwa na Serikali kuhakikisha Wananchi wanakua na chaguo la kutumia ama barabara ya kulipia au ile ya Serikali isio ya kulipia". Ameongeza David Kafulila
 
Kampuni tano zimeshaingia kwenye hatua ya manunuizi ili kushinda zabuni ya Ujenzi wa barabara ya njia nne zitakazokuwa za kulipia kutoka Kibaha hadi Morogroro ili kuondoa msomngamano uliopo.

Kamishna wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. David Kafulila amesema hii ni dhamira ya Serikali kutekeleza Ujenzi wa mfumo huo ili kuharakisha maendeleo.

"Kampuni kubwa tisa za kimataifa zilijitokesha, mchakato wa kwanza kwaajili ya kuzitathimini na kuamua ni kampuni zipi ziingie hatua za manununuzi na Kampuni tano zilibaki na ndizo zinaenda kuleta mapendekezo ya manna gani kila moja inafikiri inaweza kujenga Mradi huo.

“Ni mradi mkubwa sana ni Mradi wa Njia nne. Fikra ni kujenga Lami ambayo inaweza kuchukua miaka 30 mpaka 35 bila kufanyiwa marekebisho Makubwa. Kutoka kibaha mpaka Chalinze km 78.9 inaweka ikagharamu takribani dola 340 na kutoka chalinze Morogoro inaweza kugarimu Dola Milioni 500. Unaona kwamba ni zaidi ya Dola milioni 800 kujenga kiwango hicho cha barabara ya Lami.“ Amesema Bw. David Kafulila

Lengo la Serikali ni kuunganisha Dar na Dodoma kwa haraka zaidi. Kafulila amesema taratibu za kupata Mzabuni wa kujenga barabara kutoka Morogoro hadi Dodoma zinaendelea.

"Pesa ambazo Serikali ingezitumia kujenga barabara hizo sasa itazipeleka maeneo mengine. Ndio maana ya ubia, kwamba sekta binafsi inafanya jukumu ambalo Serikali ingefanya ili Serikali ibaki na majukumu ambayo sekta binafsi haiwezi kuingiza mtaji wake. lakini pia haiondoi jukumu la Serikali kuendeleza barabara zake kwani barabara za kulipia zinazoendeshwa na sekta binafsi zinaenda sambamba na barabara zinazosimamiwa na Serikali kuhakikisha Wananchi wanakua na chaguo la kutumia ama barabara ya kulipia au ile ya Serikali isio ya kulipia". Ameongeza David Kafulila
View attachment 2729965
Wajenge tuu si ni pesa zao wenyewe hao wawekezaji,Cha maana ni mda watakaokubaliana na Serikali ku operate kabla ya ku hand over Kwa Serikali.

Hivi hao wawekezaji watapata faida kweli kwamba Section hiyo ya chalinzs-Dar Ina traffic kubwa kiasi hicho? Bora ingeanzia Morogoro walau ingewalipa.

Mwisho niliambiwa hiyo section ingekuwa six lane expressway harafu Chalinze-Moro ndio iwe 4 lane expressway mbona Sasa inakuwa tofauti?
 
Wachina wanabeba hiyo tenda ya Trilioni 2.1

Wale jamaa ndani ya miaka 3 wanakabidhi kazi
Ni kama 1.9 T,haifiki 2T
Wajenge uzuri ni pesa zao na wakianza kulipisha inakuwa kama kwenye simu,wenye mradi wanachukua Chao na Serikali inapata Kodi.

Kama wata operate ndani ya miaka 15 au 20 pesa Yao na faida itarudi na Barabara wataikabidhi Kwa Serikali ikiwa na lifespan ya kati ya miaka 10 Hadi 15 ambayo ni faida Kwa Nchi.
 
Kampuni tano zimeshaingia kwenye hatua ya manunuizi ili kushinda zabuni ya Ujenzi wa barabara ya njia nne zitakazokuwa za kulipia kutoka Kibaha hadi Morogroro ili kuondoa msomngamano uliopo.

Kamishna wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. David Kafulila amesema hii ni dhamira ya Serikali kutekeleza Ujenzi wa mfumo huo ili kuharakisha maendeleo.

"Kampuni kubwa tisa za kimataifa zilijitokesha, mchakato wa kwanza kwaajili ya kuzitathimini na kuamua ni kampuni zipi ziingie hatua za manununuzi na Kampuni tano zilibaki na ndizo zinaenda kuleta mapendekezo ya manna gani kila moja inafikiri inaweza kujenga Mradi huo.

“Ni mradi mkubwa sana ni Mradi wa Njia nne. Fikra ni kujenga Lami ambayo inaweza kuchukua miaka 30 mpaka 35 bila kufanyiwa marekebisho Makubwa. Kutoka kibaha mpaka Chalinze km 78.9 inaweka ikagharamu takribani dola 340 na kutoka chalinze Morogoro inaweza kugarimu Dola Milioni 500. Unaona kwamba ni zaidi ya Dola milioni 800 kujenga kiwango hicho cha barabara ya Lami.“ Amesema Bw. David Kafulila

Lengo la Serikali ni kuunganisha Dar na Dodoma kwa haraka zaidi. Kafulila amesema taratibu za kupata Mzabuni wa kujenga barabara kutoka Morogoro hadi Dodoma zinaendelea.

"Pesa ambazo Serikali ingezitumia kujenga barabara hizo sasa itazipeleka maeneo mengine. Ndio maana ya ubia, kwamba sekta binafsi inafanya jukumu ambalo Serikali ingefanya ili Serikali ibaki na majukumu ambayo sekta binafsi haiwezi kuingiza mtaji wake. lakini pia haiondoi jukumu la Serikali kuendeleza barabara zake kwani barabara za kulipia zinazoendeshwa na sekta binafsi zinaenda sambamba na barabara zinazosimamiwa na Serikali kuhakikisha Wananchi wanakua na chaguo la kutumia ama barabara ya kulipia au ile ya Serikali isio ya kulipia". Ameongeza David Kafulila
View attachment 2729965
Walau iwe njia sita
 
Ni kama 1.9 T,haifiki 2T
Wajenge uzuri ni pesa zao na wakianza kulipisha inakuwa kama kwenye simu,wenye mradi wanachukua Chao na Serikali inapata Kodi.

Kama wata operate ndani ya miaka 15 au 20 pesa Yao na faida itarudi na Barabara wataikabidhi Kwa Serikali ikiwa na lifespan ya kati ya miaka 10 Hadi 15 ambayo ni faida Kwa Nchi.
Mimi naona bado ni nyembamba,gari ni nyingi sana nowday
 
Walau iwe njia sita
Njia 6 ni gharama kubwa na wateja wa kutumia hiyo njia 6 watatoka wapi? Kadiri Nchi inavyofunguka ndivyo Barabara nyingine zinazaliwa hivyo watu kuwa na option.

May be Njia 4 ziwe Toll road expressway na njia 2 ziwe za kawaida ambazo Serikali ndio wajenge na sio mwekezaji Kwa sababu hawezi kibali.
 
Badala ya kuwekeza na kujenga Train ya kasi Dar Moro ili watu wengi waweze kusafiri / kufika kwenye shughuli zao at affordable prices watu wanawaza miradi ya kupiga na miradi ya kumkamua mwananchi badala ya kumuhudumia.....

Hizi ndio zinaitwa Cutting your Nose to Spite your Face.....
 
Badala ya kuwekeza na kujenga Train ya kasi Dar Moro ili watu wengi waweze kusafiri / kufika kwenye shughuli zao at affordable prices watu wanawaza miradi ya kupiga na miradi ya kumkamua mwananchi badala ya kumuhudumia.....

Hizi ndio zinaitwa Cutting your Nose to Spite your Face.....
Ujinga wako,train ya Kasi nani anapenda kukaa Kwa kusongamana? Yaani kupangiwa ratiba na maisha nani anataka bwashee? Kapande si ipo tayari Sgr yenu Hadi Dom shida Iko wapi?
 
Ujinga wako,train ya Kasi nani anapenda kukaa Kwa kusongamana? Yaani kupangiwa ratiba na maisha nani anataka bwashee? Kapande si ipo tayari Sgr yenu Hadi Dom shida Iko wapi?
Hivi unajua nini kazi ya serikali na pesa serikali inazotumia inazitoa wapi ? Unaongelea nani anapenda ? Hivi unadhani kwenye miji mikubwa yote wanaotumia trains / trams na tube system wanafanya hivyo kwanini ? Ni sawasawa unapanga kununua Ferrari wakati hata baiskeli hauna na mwisho wa siku unachotaka sio kuuza sura bali ni kutoka point A mpaka B

Unajua cost ya congestion na watu kuchelewa makazini; Kama kungekuwa kuna train ya kasi Dar Moro unadhani watu wangeshindwa kukaa Morogoro na kufanya kazi Dar ?

Unaongelea msongamano kama watu wengi train wanaongeza behewa, Unaongelea kupangiwa maisha..., Wewe maisha jipangie unavyotaka ila katika upangaji wako usitumie Kodi za mwananchi....
 
Nadhani kuna tatizo kubwa la kupanga vipaumbele vya Nchi kwa hawa Wanasiasa wetu.

Wakati tunaanza Ujenzi wa reli ya Sgr walisema lengo ni kupunguza foleni kutoka Morogoro, baadaye wakaongeza na Dodoma.

Kabla mradi haujakamilika Serikali imekuja na mpango wa kujenga hizo Toll Roads.

Hawa watu wameshindwa kutuongoza, nadhani kuna haja wakapatikana wengine sio hawa tena 🙌
 
Nadhani kuna tatizo kubwa la kupanga vipaumbele vya Nchi kwa hawa Wanasiasa wetu.

Wakati tunaanza Ujenzi wa reli ya Sgr walisema lengo ni kupunguza foleni kutoka Morogoro, baadaye wakaongeza na Dodoma.

Kabla mradi haujakamilika Serikali imekuja na mpango wa kujenga hizo Toll Roads.

Hawa watu wameshindwa kutuongoza, nadhani kuna haja wakapatikana wengine sio hawa tena 🙌
Hatueleweki Mkuu, tupo tupo tu
 
Hivi unajua nini kazi ya serikali na pesa serikali inazotumia inazitoa wapi ? Unaongelea nani anapenda ? Hivi unadhani kwenye miji mikubwa yote wanaotumia trains / trams na tube system wanafanya hivyo kwanini ? Ni sawasawa unapanga kununua Ferrari wakati hata baiskeli hauna na mwisho wa siku unachotaka sio kuuza sura bali ni kutoka point A mpaka B

Unajua cost ya congestion na watu kuchelewa makazini; Kama kungekuwa kuna train ya kasi Dar Moro unadhani watu wangeshindwa kukaa Morogoro na kufanya kazi Dar ?

Unaongelea msongamano kama watu wengi train wanaongeza behewa, Unaongelea kupangiwa maisha..., Wewe maisha jipangie unavyotaka ila katika upangaji wako usitumie Kodi za mwananchi....
Kwenye toll road hakuna congestion
 
Back
Top Bottom