Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

Ni kweli bara la Australia lipo Upside down?

Sawa nimekupata, lakini issue ya UPSIDE DOWN hujaiongerea bro

mkuu, ulimwenguni hamna up wala down generally... ila kuna up and down with reference to gravitational pull...vitufe (sayari,miezi) vinavyo zunguka vinawavuta watu kuelekea katikati yake(centres) hivyo kuwafanya wapate "impression" kwamba wanavutwa kuelekea chini ......


kuhusu infinity...

kwa vifaa na ujuzi uliyopo, hatujaweza kudhibitisha ukomo wa ulimwengu.... maana hata mwanga wa jua ambao ndio the gratest source of energy ukisafiri haurudi (kuwa reflected) popoe huko mbele kiasi cha kudhibitisha huo ukomo,,,hii inafikia kiasi cha wataalam kusema " there are only two things that are infinity in this world! human stupidity and the universe!"...hahahahah
 
Kigamboni huoni Zanzibar sababu ya miinuko, milima na mabonde. Ni sawa na kuwa na ghorofa 6 na ghorofa 12 eneo moja.

Dunia kuwa FLAT 'Bense' sio kwamba imetandikwa chini kama mkeka, pia mawingu unayoyaona ndio universe ambayo ni kubwa kuliko na hapo nimesema universe ndio (Sphere, Oval na Circle) wingu liloshuka ndio ukuta wa universe.
Hahahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechagua kigamboni na sio msata/pwani ili unielewe,milima na vichuguu baharini vinatoka wapi??

Mawingu yako ndani ya milki ya dunia kama km5 kutoka chini.huo ukuta unaouzungumzia una upana mile ngapi maana katikati yake kuna nyota za karibu na za mbali kiasi kwamba zinaonekana kama unga tu uliomwagwa.
Ninachoweza hapa unaamini sana sayansi kiasi ya kwamba unaona haina kosa.
Swala la Zanzibar ni uwezo wa macho, macho uwezo wake hauwezi kuona umbali huo wa Kigamboni to Zanzibar.

Mi ni mmoja wasioami ulimwengu ni endless ndio maana nimeandika Universe ni (Sphere, Oval na Circle) ndio inatufanya tuone hizo boundaries.
 
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima) ⬇
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!
Kitu flat kinazungukaje?
 
Ninachoweza hapa unaamini sana sayansi kiasi ya kwamba unaona haina kosa.
Swala la Zanzibar ni uwezo wa macho, macho uwezo wake hauwezi kuona umbali huo wa Kigamboni to Zanzibar.

Mi ni mmoja wasioami ulimwengu ni endless ndio maana nimeandika Universe ni (Sphere, Oval na Circle) ndio inatufanya tuone hizo boundaries.
Macho yanauwezo wa kuona mbali sana, ndio maana tunaweza kuona sayari kama mars & mwezi & nyota.


Zanzibar hatuwez kuona sababu ya duara la dunia....

Zanzibar n karibu kuliko mars
 
Macho yanauwezo wa kuona mbali sana, ndio maana tunaweza kuona sayari kama mars & mwezi & nyota.


Zanzibar hatuwez kuona sababu ya duara la dunia....

Zanzibar n karibu kuliko mars
Unamaanisha Zanzibar imeanza angle tofauti na Dar (Kigamboni) ilipo?
 
1. Wao Wanasema (Sio kila wanachosema ni sahihi).
2. Jua kuzama matopeni (Ume-refer thread yeye maudhui ya kidini. Mimi siongelei dini na namuamini Mungu sio dini at first.

Majibu:-
• Dunia kuwa FLAT sio kwamba haitembei/paa/zunguka hapana inapaa/zunguka vizuri tu lakini kwa speed ya kati.
• Jua halikusimama/kaa sehemu moja na halizunguki bali lina runway/njia ya kwenda na kirudi (hupita hapo hapo) East to West/West to East pia linachanua na kufifia kama ua(flower) lakini halizimi kama taa.
• Mwezi umesimama mahala lakini angle ambayo inawezesha kuiona dunia vizuri. Mwezi huu unawaka lakini sio kwa ukali ni kama (Rubber maalumu au Bracelets ambazo gizani uwaka na kwenye mwanga huzima)
• Universe ndio inautajiri wa mwanga na rangi hivyo hubadili katika mazoea.
Nyongeza:-
• Nyota ni moja imesimama sehemu lakini miale na kunga'a kwake ndio tunaona Nyota kuwa nyingi.

Note: Ukirudi na kitu kinaitwa SCIENTIFIC LAWs jiulize leo hii nikisema wewe huna damu bali maji utakubali?!
Acha kupotosha umma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa!!

Kwa sababu kwani juu ni wapi?

Alafu,wanaosema kuwa iwapo dunia ingekuwa tufe, basi maji yangemwagika!
Jibu ni kwamba, kama maji yangemwagika basi tungeyaona yanapaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio hivyo,tungeona yanaelekea juu.

Hapa wazee wa vapour ukiwaambia hivi unawachanganya kabisaaa.
 
we ndo unaamini nadharia ya jua kuzama matopeni
Umeuliza swali zuri ila lazima tu uoneshe upungufu wa uelewa.

Kwani we unasema Jua linazama, linazama wapi? mchoro wa solar system unaonesha jua lipo katikati, kuzama kwa kitu ni kudidimia chini. Kwaio ukisema Jua linazama maanake limedidimia chini ama tuelewe vipi?
 
Ndio hivyo,tungeona yanaelekea juu.

Hapa wazee wa vapour ukiwaambia hivi unawachanganya kabisaaa.
Alafuu,

Kwanini yamwagike? Ni kipi kingeyafanya yamwagike?

Watu wengi husema hivyo wakilinganisha na wakati maji yakiwa kwenye kikombe, sebuleni kwako, basi ikatokea yamemwagika, yanaenda chini. Hiyo ni kwa sababu ya Gravity ya dunia, ndiyo hufanya vitu kuanguka kuelekea chini.
Sasa, ni nini kiyavute huko juu?!

Wanaosema dunia ni flati:

Je, ukichimba ardhi mpaka mwisho, unatokea chini ya dunia? Huko kuna nini? Au ndio mizizi ya miti ipo huko?

Ukingo wa dunia ni barafu, Je, ukingo wa barafu ni nini?

Jua linapozama upande wa magharibi, linakuwa limeenda wapi ili kesho litokee tena mashariki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeuliza swali zuri ila lazima tu uoneshe upungufu wa uelewa.

Kwani we unasema Jua linazama, linazama wapi? mchoro wa solar system unaonesha jua lipo katikati, kuzama kwa kitu ni kudidimia chini. Kwaio ukisema Jua linazama maanake limedidimia chini ama tuelewe vipi?

Sio maneno yng mkuu ni muhamed kwenye kitabu tukufu ameandika ivo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi ukiwa unapanda mlima wenye slope kali yaani uliosimaa sana huwa unajihisi vipi? Naamini kabisa dunia iko sphere.

Ni mtazamo wangu tuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ni duara lakini duara kubwa sana kiasi kwamba ukiwa mahali popote juu ya uso wake huwezi kuhisi unasimama upande kwani vile vile gravity ni kubwa na sawa pande zote.

Pia hakuna kitu kingine kikubwa kama dunia karibu na dunia ambacho kingekuwa reference na kutufanya tujisikie tupo kichwa chini miguu juu. Miguu yote ipo chini na vichwa vyote vipo juu kwasababu gravity inavuta upande ule ule wa miguu hata kwa wale waliopo upande wa pili wa tufe.

Ulimwengu ‘universe’ hauna mwisho!
Umejibu vizuri Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom