Ni kweli Arusha ni Geneva ya Afrika?

Akili ni changamoto, hatuongelei manufaa ya wananchi, Mimi nimeongea fact, hayo mengine mjadiliane huko.

Hemu uliza nchi yeyote Africa ambayo imekuwa na hazi ya kuhodhi mahakama ya Umoja wa mataifa, halafu ujijibu.

Hemu jiulize wakati wa hiyo Mahakama watu wa maeneo ya Njiro, na sehemu nyingine walivyokuwa wanapata biashara kutokana na uwepo wa hao staff.

Nyumba zilikuwa nazishikiki na ni kwa dollar, sasa hayo mengine yakwako ni trash, sijui hakuna barabara, ni trash na hayanihusu kabisa.

Fact:

Kwa nini imeitwa hivyo, hiyo ndo sababu.
Hajui Arusha huyo kwa miaka 15 au20 hivi shughuli za mashirika haya ya kimataifa yalifanya Arusha kuwa ghali sana haswa malazi na nyumba na maeneo ya burudani starehe. Back then njiro yalikuwa mashamba ya mahindi matupu after 2003/04/05 up to now pakaanza kujengeka kwa kasi
 
Hapo Cinema njiro complex
Ah! Ni papya au?? Pako kwa wapi?

Nilikuwa naenda hapo Mumbai restaurant sana na ile ATM ya CRDB. Kuna wakati nilikuwa kila nikienda napata hela mpya 😂 ikawa ATM pendwa kwa muda
 
Ah! Ni papya au?? Pako kwa wapi?

Nilikuwa naenda hapo Mumbai restaurant sana na ile ATM ya CRDB. Kuna wakati nilikuwa kila nikienda napata hela mpya ikawa ATM pendwa kwa muda
Ipo ghorofani kama unapanda ngazi upande wa kulia usawa wa geti la gari zinapotokea utaona kwa juu pameandikwa El Toro.
 
Ipo ghorofani kama unapanda ngazi upande wa kulia usawa wa geti la gari zinapotokea utaona kwa juu pameandikwa El Toro.
Uwa naishia chini siku zote. Wana vyakula vizuri? Ni lounge, bar or restaurant?
 
Back
Top Bottom