Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 239
- 325
- Thread starter
- #41
understoodArusha is overrated
understoodArusha is overrated
Aliyesema hivyo ni bill clintonShekhe waijua Geneva wewe.
Toa hayo mawazo ya Julius
Unaishije njiro huna gari?ukiwa njiro jioni unataka urudi mjini hakuna usafiri wa uhakika. Inatakiwa tupige kelele huu ujinga uishe
Hajui Arusha huyo kwa miaka 15 au20 hivi shughuli za mashirika haya ya kimataifa yalifanya Arusha kuwa ghali sana haswa malazi na nyumba na maeneo ya burudani starehe. Back then njiro yalikuwa mashamba ya mahindi matupu after 2003/04/05 up to now pakaanza kujengeka kwa kasiAkili ni changamoto, hatuongelei manufaa ya wananchi, Mimi nimeongea fact, hayo mengine mjadiliane huko.
Hemu uliza nchi yeyote Africa ambayo imekuwa na hazi ya kuhodhi mahakama ya Umoja wa mataifa, halafu ujijibu.
Hemu jiulize wakati wa hiyo Mahakama watu wa maeneo ya Njiro, na sehemu nyingine walivyokuwa wanapata biashara kutokana na uwepo wa hao staff.
Nyumba zilikuwa nazishikiki na ni kwa dollar, sasa hayo mengine yakwako ni trash, sijui hakuna barabara, ni trash na hayanihusu kabisa.
Fact:
Kwa nini imeitwa hivyo, hiyo ndo sababu.
ukiwa njiro jioni unataka urudi mjini hakuna usafiri wa uhakika. Inatakiwa tupige kelele huu ujinga uishe
NimeliaUnaishije njiro huna gari?
Hamia mbauda ,majengo, shams level yako
Njiro sijui raina wana magari wote? 🤣 saa 2 uck unaanza mulika na tochi hiace. Btw indrive ipo.
Njoo El toro nikufute machoziNimelia
Ndio wapi? Sjawahi kupasikiaNjoo El toro nikufute machozi
Hapo Cinema njiro complexNdio wapi? Sjawahi kupasikia
Ah! Ni papya au?? Pako kwa wapi?Hapo Cinema njiro complex
Ipo ghorofani kama unapanda ngazi upande wa kulia usawa wa geti la gari zinapotokea utaona kwa juu pameandikwa El Toro.Ah! Ni papya au?? Pako kwa wapi?
Nilikuwa naenda hapo Mumbai restaurant sana na ile ATM ya CRDB. Kuna wakati nilikuwa kila nikienda napata hela mpya ikawa ATM pendwa kwa muda
Uwa naishia chini siku zote. Wana vyakula vizuri? Ni lounge, bar or restaurant?Ipo ghorofani kama unapanda ngazi upande wa kulia usawa wa geti la gari zinapotokea utaona kwa juu pameandikwa El Toro.
Definitely lounge and restaurant.Uwa naishia chini siku zote. Wana vyakula vizuri? Ni lounge, bar or restaurant?