kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,109
- 1,842
- Thread starter
- #141
Ndio hakuna sehem iliyoendelea kote, lakini sehemu zile zilizokua hazina maendeleo sasahv panaendelea sana na kujengeka sana, kigamboni Iko vile vile, kama kimbiji nilipita mwaka 2016, mpaka Leo pako vilevile, wakati sehemu nyingne zimeshakua mjini kabisa, ukweli ni kwba Kwa dar wilaya maendeleo yake yakio slow sana ni kigamboni, kama pametengwa hiviMkuu,Nimezaliwa na Kukulia Wilayani Kinondoni,Nimekaa Wilayani Kigamboni,Temeke na Ilala.Ila shughuli zangu zimenifanya nizunguke takribani kila kona ya Dar,,
Kigamboni kuanzia Feli kwenda Cheka,Kimbiji kutafuta Pemba mnazi
Kutoka Kibada kwenda Mwasonga nishafika
Ilala kuanzia Upanga,mChafukoge mpaka Kitunda,kuanzia ukonga mpaka Nzasa, Msongola kurudi Viwege na Magohe..Buguruni mpaka Tabata mpaka Kinyerezi na Kifuru
Temeke kuanzia Chang'ombe mpaka Tuangoma,kwenda Chamazi kwenda Mbande
Ubungo :Sinza kwenda Goba,Kwenda Msumi na Kiluvya,kuja Msigati...
Yan,Dar kimsingi Luna maeneo mengi bado huduma hazifika mkuu...
Wilaya ya Ilala ina maeneo kibao Umeme ni wa REA,maji machafu ya Visima.
Wilaya ya Ubungo maeneo mengi barabara ni mbovu,matope mwanzo mwisho.