igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,598
- 3,356
Ongezea na kupiga picha na pesa amezimwaga chumbani juu ya kitanda, yaani sijaona wazungu na huu ushamba...Waafrika, na hata wamarekani weusi wanaushamba sana wa mavazi. Wanavaa wanakuwa kama vipepeo.