Kwanini Lodges wasitumie mfumo wa Masaa 24, Kufika usiku halafu asubuhi hela imeisha ni ujinga!

Ricky Blair

JF-Expert Member
Mar 13, 2023
391
873
Jamani owners wa Lodges hii tabia ya kumchaji mtu siku moja ila mtu anafika usiku na saa nne hela imeisha ni ujinga. Kwanini msiende kwa masaa 24? Ukifika saa nne usiku mpaka saa nne usiku hela yako inaisha. Shida ipo wapi? Hata Airbnb nyingi wanaenda hivi.

Mtu umefika mkoa mpya safarini unafikia usiku halafu asubuhi hela imeisha; Si sawa.
 
Serikali au wizara husika kama nyumba na makazi, biashara na uwekezaji na katiba na sheria wakalitazame hili na kutoa mwongozo mara moja.

Mfumo unaotumika kwa sasa wa kutamatisha upangaji kwenye guest houses, lodges na mahotel kila ifikapo saa nne asubuhi bila kuzingatia muda aliowasili mpangaji chumbani pale huku gharama zikiwa ni za masaa 24, ni wizi wa fedha za wateja katika nyumba hizo za wageni.
 
Jamani owners wa Lodges hii tabia ya kumchaji mtu siku moja ila mtu anafika usiku na saa nne hela imeisha ni ujinga. Kwanini msiende kwa masaa 24? Ukifika saa nne usiku mpaka saa nne usiku hela yako inaisha. Shida ipo wapi? Hata Airbnb nyingi wanaenda hivi.

Mtu umefika mkoa mpya safarini unafikia usiku halafu asubuhi hela imeisha; Si sawa.
Utaratibu wa room check out ni Saa 4 asubuhi na check in inaanza muda huo Saa 4 asubuhi, mengine hayo ni shida zako mwenyewe hizo.

Kama unakwenda sehemu kulala one night utaratibu ni huo utalipizia kwenye breakfast na kama itaendelea kukaa night yako ya Pili ndio inaanza kuhesabiwa kuanzia Saa 4 asubuhi mpaka Kesho Saa 4 asubuhi.
 
Serikali au wizara husika kama nyumba na makazi, biashara na uwekezaji na katiba na sheria wakalitazame hili na kutoa mwongozo mara moja.

Mfumo unaotumika kwa sasa wa kutamatisha upangaji kwenye guest houses, lodges na mahotel kila ifikapo saa nne asubuhi bila kuzingatia muda aliowasili mpangaji chumbani pale huku gharama zikiwa ni za masaa 24, ni wizi wa fedha za wateja katika nyumba hizo za wageni.
Unaweza kiwepesi Sana Kwa sababu hujui uendeshaji wake wake ukoje.

Tajiri anakuja asubuhi umwambie mtu kaingia Saa 8 yaani mpaka Kesho Saa 8 usiku? hakuna kitu kama hicho.
 
Huo utaratibu ni karibu world wide sio manzese tu hata huku ivory coast ni hivyo hivyo
 
Unaweza kiwepesi Sana Kwa sababu hujui uendeshaji wake wake ukoje.

Tajiri anakuja asubuhi umwambie mtu kaingia Saa 8 yaani mpaka Kesho Saa 8 usiku? hakuna kitu kama hicho.
Kwani tajiri akiambiwa mtu kaingia saa nane anapasuka amekua puto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom