Ni kwanini tunaagiza kuku kutoka Brazil wakati ardhi tunayo?

Ni kwanini tunaagiza kuku kutoka Brazil wakati ardhi tunayo?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,349
Ghana is setting its sights on becoming the largest chicken producer in Africa within the next three years.

Local farmers will be supported with day-old chicks, affordable feed, and modern processing facilities to scale up production nationwide.

The goal is to drastically reduce reliance on imported frozen chicken, create thousands of jobs in farming and agribusiness, and ensure that the money spent on poultry stays within the Ghanaian economy.

By strengthening the poultry sector, this initiative is expected to make chicken more affordable, improve food security, and provide sustainable income opportunities for farmers across the country.

Ghana wameshaanza mipango na baada ya miaka mitatu si ajabu tilapia kuku kutoka Ghana. Ardhi tunayo tunakwama wapi?

Ilitakiwa kuwa na pakiti ya vipapatio ya kilo moja kwa shilingi 3,000 ambayo mtu wa kipato cha chini anaweza kumudu kuwapa watoto mlo kamili.

Hata shule za kata wangeweza kupata kuku hata mara mbili kwa wiki. Lodge bora huchangia katika uwezo wa kufikiri.
1757840675366.png
 
🚨 Ghana is setting its sights on becoming the largest chicken producer in Africa within the next three years.

Local farmers will be supported with day-old chicks, affordable feed, and modern processing facilities to scale up production nationwide.

The goal is to drastically reduce reliance on imported frozen chicken, create thousands of jobs in farming and agribusiness, and ensure that the money spent on poultry stays within the Ghanaian economy.

By strengthening the poultry sector, this initiative is expected to make chicken more affordable, improve food security, and provide sustainable income opportunities for farmers across the country.

Ghana wameshaanza mipango na baada ya miaka mitatu si ajabu tilapia kuku kutoka Ghana. Ardhi tunayo tunakwama wapi?

Ilitakiwa kuwa na pakiti ya vipapatio ya kilo moja kwa shilingi 3,000 ambayo mtu wa kipato cha chini anaweza kumudu kuwapa watoto mlo kamili.

Hata shule za kata wangeweza kupata kuku hata mara mbili kwa wiki. Lodge bora huchangia katika uwezo wa kufikiri.
View attachment 3471846
Hao kwenye picha ndio wanaagizwa Brazili?
 
Back
Top Bottom