Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Yaani aunde tume kumchunguza mtu aliyekuwa anawasaidia wao katika kutekeleza mambo waliyokuwa wanafanya!? Haiji kutokea hiyo
Hahaaa unajitahidi sana kukitetea chama!.
Sijui kwanini hawakuoni, au bado wanakupima. Keep it up!.
Mag3Ukweli ni huu HORSE POWER ...wote waliokuwa viongozi wa juu katika serikali ya Magufuli bado wapo, wengine wao katika nyadhifa za juu zaidi Serikalini, Mahakamani na Bungeni. Tena Bungeni ndio usiseme, wapo kwa asilimia 99%.
Magufuli aliwaagiza watu kutekeleza matakwa yake hata pale yalipopishana na Katiba ya nchi. Watekelezaji hao wote bado wapo na wengine wamepandishwa vyeo. Hizi zote ni katika jitihada za kulindana ambayo ni sera kuu ya CCM.
Kumbuka kazi iendeleeee!
Wewe ni ndugu wa Biswalo? Weka unachojuwa hapa kuhusu Plea Bargain nasi tukujibuNdio yale yale niliyokuwa nasema mnalalamika out of ignorance.
Huyu anasiri nyingi. Si faida kwa Serikali kumfungulia mashtaka. Ni hatari kwa serikali yenyewe.Zipo tuhuma nzito Sana zinazomkabili aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga, kuhusiana na kile kinachoitwa "plea bargaining" mtindo uliobuniwa wakati wa utawala wa awamu ya 5, ambapo watuhumiwa "waliobambikiwa" makosa, wakati wa utawala wa awamu ya 5, "walilazinishwa" kukiri makosa na hivyo kukamuliwa mabilioni ya pesa, ambapo inadaiwa kuwa mabilioni hayo hayakufikishwa kwenye hazina ya Taifa hili na badala yake ziliishia kwenye mifuko ya Biswalo Mganga na washirika wake!
Hizi ni tuhuma nzito Sana kumkabili mtumishi wa Umma, tena mwenye hadhi ya ujaji, Biswalo Mganga, ambapo anadaiwa kuwa Kati ya shilingi bilioni 51, alizokusanya kwa njia hiyo ya "plea bargainining" mabilioni mengi, hakuyafikisha hazina, kwa mujibu wa taarifa ya CAG, Charles Kicheere, na badala yake, mabilioni hayo yanasemekana, yaliishia kwenye mifuko ya Biswalo Mganga na washirika wake.
Watuhumiwa hao waliobambikiziwa Kesi, Ili hatimaye walazimishwe kukiri makosa hayo wanayotuhumiwa nayo na baadaye "wakamuliwe" mabilioni hayo ya pesa, wametoa wito kwa Rais wetu, aweze kuunda Tume ya Majaji, kuchunguza tuhuma hizi nzito, wakati huo huo akimsimamisha Kazi ya ujaji, aliyomteua mapema mwaka jana.
Ni utaratibu wa kawaida sana, unaotumika Katika nchi za Jumuiya ya Madola, ambayo nchi yetu ipo, ambapo tunalazimika kufuata.
Swali kubwa ninalojiuliza, ni kwanini hadi hivi sasa, Rais Samia, anashikwa na "kigugumizi" kuunda Tume hiyo ya Majaji, ambayo itatafuta ukweli wa kujua kama tuhuma hizo ni za kweli au la?
Ni vyema Rais Samia, akatambua kuwa kushikwa kwake na "kigugumizi" cha kuunda Tume hiyo ya Majaji,, kutatoa tafsiri kwa wananchi wengi kuwa, yeye Rais ana mpango wa kumwewekea kinga dhidi ya tuhuma anazokabiliwa nazo huyo aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga.
Vile vile itatoa tafsiri kuwa kuna baadhi ya watu hapa nchini, hususani viongozi waandamizi wa Serikali hii ya CCM, wanapewa kinga ya "impunity" ya kutoshtakiwa, hata kama wamefanya makosa makubwa ya jinai, jambo ambalo halitendi haki kwa wananchi, kwa kuwa Katiba yetu inaeleza wazi kuwa wananchi wote, wapo sawa mbele ya sheria.
Tanzania wasomi ni wachache ukimtoa utampata wapi mwingine? Huoni hata mawaziri wanajirudia rudia hatuna nafasi ya kutengeneza nguvu kazi mpaZipo tuhuma nzito Sana zinazomkabili aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga, kuhusiana na kile kinachoitwa "plea bargaining" mtindo uliobuniwa wakati wa utawala wa awamu ya 5, ambapo watuhumiwa "waliobambikiwa" makosa, wakati wa utawala wa awamu ya 5, "walilazinishwa" kukiri makosa na hivyo kukamuliwa mabilioni ya pesa, ambapo inadaiwa kuwa mabilioni hayo hayakufikishwa kwenye hazina ya Taifa hili na badala yake ziliishia kwenye mifuko ya Biswalo Mganga na washirika wake!
Hizi ni tuhuma nzito Sana kumkabili mtumishi wa Umma, tena mwenye hadhi ya ujaji, Biswalo Mganga, ambapo anadaiwa kuwa Kati ya shilingi bilioni 51, alizokusanya kwa njia hiyo ya "plea bargainining" mabilioni mengi, hakuyafikisha hazina, kwa mujibu wa taarifa ya CAG, Charles Kicheere, na badala yake, mabilioni hayo yanasemekana, yaliishia kwenye mifuko ya Biswalo Mganga na washirika wake.
Watuhumiwa hao waliobambikiziwa Kesi, Ili hatimaye walazimishwe kukiri makosa hayo wanayotuhumiwa nayo na baadaye "wakamuliwe" mabilioni hayo ya pesa, wametoa wito kwa Rais wetu, aweze kuunda Tume ya Majaji, kuchunguza tuhuma hizi nzito, wakati huo huo akimsimamisha Kazi ya ujaji, aliyomteua mapema mwaka jana.
Ni utaratibu wa kawaida sana, unaotumika Katika nchi za Jumuiya ya Madola, ambayo nchi yetu ipo, ambapo tunalazimika kufuata.
Swali kubwa ninalojiuliza, ni kwanini hadi hivi sasa, Rais Samia, anashikwa na "kigugumizi" kuunda Tume hiyo ya Majaji, ambayo itatafuta ukweli wa kujua kama tuhuma hizo ni za kweli au la?
Ni vyema Rais Samia, akatambua kuwa kushikwa kwake na "kigugumizi" cha kuunda Tume hiyo ya Majaji,, kutatoa tafsiri kwa wananchi wengi kuwa, yeye Rais ana mpango wa kumwewekea kinga dhidi ya tuhuma anazokabiliwa nazo huyo aliyekuwa DPP, Biswalo Mganga.
Vile vile itatoa tafsiri kuwa kuna baadhi ya watu hapa nchini, hususani viongozi waandamizi wa Serikali hii ya CCM, wanapewa kinga ya "impunity" ya kutoshtakiwa, hata kama wamefanya makosa makubwa ya jinai, jambo ambalo halitendi haki kwa wananchi, kwa kuwa Katiba yetu inaeleza wazi kuwa wananchi wote, wapo sawa mbele ya sheria.
Zawadi NgodaHuyu anasiri nyingi. Si faida kwa Serikali kumfungulia mashtaka. Ni hatari kwa serikali yenyewe.
Hizo nafasi kujirudia rudia, siyo k sababu watanzania wasomi hawapo, la hasha, bali inatokana na mfumo wa kiutawaka wa CCM, ambao wanaogopa kuweka sura mpya zenye kutaka kuleta mageuzi kisiasa na kiuchumiTanzania wasomi ni wachache ukimtoa utampata wapi mwingine? Huoni hata mawaziri wanajirudia rudia hatuna nafasi ya kutengeneza nguvu kazi mpa
Hujui kitu hivyo siwezi poteza muda wangu bure.Wewe ni ndugu wa Biswalo? Weka unachojuwa hapa kuhusu Plea Bargain nasi tukujibu
Nikusaidie wewe bush lawyer. Sheria Ile ilitungwa na kufanya kazi kabla ya kuwekewa kanuni zake na hapo ndipo kwenye utata! Uwe unatafiti kabla ya kupata hewani!Elewa kwanza sheria ya plea bargaining ndio uje kulalamika hapa.
Maana unaweza leta lawama out of ignorance.
Una umri Gani? Kama ni under 30yrs basi hujui lolote kuhusu tegeta escrow na nani wamiliki halali! Unakumbuka Kikwete alisema Nini juu ya pesa zile kuwa ni Mali ya nani na kwanini alisema vile mbele ya wazee wa Dar? Au basi tuache TU.Mna mawazo ya kijinga! Na utoto mwingi. Tume ya nini na wakati mijizi kama Kabendera na akina sethi walishikishwa adabu. Umesahau mara hii Tegeta escrow wajinga nyie
Ilitungwa lini ?Elewa kwanza sheria ya plea bargaining ndio uje kulalamika hapa.
Maana unaweza leta lawama out of ignorance.
Kumgusa Jaji ni kugusa maslahi ya wengi sana wafaidikaji. Hawawezi kukubali na yuko hapo alipo kwasababu...
Elewa kwanza sheria ya plea bargaining ndio uje kulalamika hapa.
Maana unaweza leta lawama out of ignorance.
Na tukibaini ... so what?, ndio tutafanya nini?.
Mwacheni Mama apige kazi.
P
Mshana Jr
Sasa kama Rais ataendelea kushikwa na "kigugumizi" cha kuunda Tume ya Majaji, wananchi tutabaini kuwa kumbe wote hao viongozi wa CCM, wapo kwenye mkumbo mmoja, wa kutaka kuendelea kutuibia sisi watanzania! Full Stop
Tatizo ni muda au content??Ilitungwa lini ?
Mna mawazo ya kijinga! Na utoto mwingi. Tume ya nini na wakati mijizi kama Kabendera na akina sethi walishikishwa adabu. Umesahau mara hii Tegeta escrow wajinga nyie