Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,444
- 1,079,376
Unajua ni nani alikuwa makamu wa rais wa wakati ule? Second in command?Ndiyo maana tunamshinikiza Rais Samia aunde Tume hiyo ya Majaji, kwa kuwa siyo "fair" kwa nchi hii moja, baadhi ya watu waruhusiwe kutafuna mabilioni ya pesa, kama vile wapo "above law" wakati wananchi wengine wanasulubiwa na wamehukumiwa Mahakamani kwa wizi wa kuku tu!
Nani alikuwa waziri wa sheria?
Hili sometimes mnalisahau sijui kwa nini. Mama hawezi kufanya vitu ambavyo anajua hata yeye mwenyewe (au mtu wake wa karibu) anaweza kuwa implicated.
She is smart, calculated and a seasoned politician. Na mwanasiasa daima ni mwanasiasa tu!