Komandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).
Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.
Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.
Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.
Nina uhakika na ninacho ongea chief
Umemaliza uzi ufungweKomandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).
Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.
Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.
Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.
Lol.. Acha uongo humu kuna watu wazimaNina uhakika na ninacho ongea chief
Basi tuishie hapoSijapinga..nimeuliza. na huo uhakika ni wa vipi?
Basi tuishie hapo. Ndo maana huwa mnatishwa tishwa na hao watuLol.. Acha uongo humu kuna watu wazima
Hongera mwenzetu usietishika, kachokoze utuletee mrejeshoBasi tuishie hapo. Ndo maana huwa mnatishwa tishwa na hao watu
Aaaaaah we jamaaa ni shidaMkuu hujafafanua vizuri unamzungumzia komando yupi, maana kuna KOMANDO Ledi Jei Dii, KOMANDO Hamza kalala na KOMANDO Kipensi
Basi tuishie hapo
Fresh tuAaaaaah we jamaaa ni shida
Ndo maana nimekwambia kuna wengine hawajui hata kurusha ngumiHongera mwenzetu usietishika, kachokoze utuletee mrejesho
Hapa kidogo umewapa maana. Usalama wako vizuri zaidi mfano mzuri PSU (Presidential Security Unity) Hawa wana mafunzo Mengi zaidi ya Commando nikimaanisha wanapiga Course nzima ya Commando yaani ni full wing. Na wana High IQ. Katika Ulinzi wa Kijeshi na kutumia dhana zote za Kivita, Pia ni Special Force. Tofauti na InformerKomandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).
Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.
Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.
Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.
Narudia tena . nikweli kuna ma agent mamba wakali. Lakini wengine hawajui hata kukunja ngumi.Wengi Ushujaa Wao huwa ni wa hapa hapa tu katika Keyboards hizi na kwa Kutumia hizi Fake Identities ila Kiuhalisia ni Waoga mno wa Kuuwawa.
Acha uongo wewe. Vijana wengi wa UVCCM tumewapeleka usalama na hao nao ni makomando????!Huyo ni mtu mmoja, huwezi kuwa afisa usalama kama sio komando, kwaiyo unazungumzia mtu mmoja katika kazi tofauti kama ffu na traffic police
Hapa kidogo umewapa maana. Usalama wako vizuri zaidi mfano mzuri PSU (Presidential Security Unity) Hawa wana mafunzo Mengi zaidi ya Commando nikimaanisha wanapiga Course nzima ya Commando yaani ni full wing. Na wana High IQ. Katika Ulinzi wa Kijeshi na kutumia dhana zote za Kivita, Pia ni Special Force. Tofauti na Informer
Ndugu yaani Jamaa huyo aliposema kuwa eti huwezi kuwa mwana Usalama wa Taifa kama siyo COMMANDO nikajua Wajinga hawajaisha nchini.
Namaanisha kwamba COMMANDO wa Jeshi, anaweza kupewa Oder Na anaweza kutumiwa na kazi za Usalama wa Taifa Katika kufanikisha Jambo lao isipo kuwa yeye sio Kwenye Kitengo chao na akafanya kazi yao Pasipo kujua. Maana hiyo ni taasisi kubwa.Mfano mzuri MI6 wa UingerezaUmejitahidi sana Kuandika kwa Uzoefu wako, ila sijui kwanini umeshindwa kujua kuwa ukisema COMMANDO basi hao ndiyo SPECIAL FORCE pia.