Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,189
- 5,819
Ni pm
Ni kama simba anaekula majani kwakukosa windo. Anakula tu ili asife
Ni kama simba anaekula majani kwakukosa windo. Anakula tu ili asife
Tuliosoma chini ya mbuyu tumekuelewaHapana ya mleta mada hii ni mbinu, kuna watu watatiwa kwenye 18 sasa hivi...
Vitabu vya dini vimewapeleka chaka wenzetu kila siku wanakuja na nyuzi za kulalamikia ndoa zaoNi Ujambazi uliorasimishwa na vitabu vya dini
Ajabu Sana
Kijana Kataa NdoaVitabu vya dini vimewapeleka chaka wenzetu kila siku wanakuja na nyuzi za kulalamikia ndoa zao
Sisi tuendelee na kampeni yetu ya KATAA NDOA
Jana umechoma 350k, Leo umeamua kuingia na sera nyingine ili ujipoze machungu.Vitabu vya dini vimewapeleka chaka wenzetu kila siku wanakuja na nyuzi za kulalamikia ndoa zao
Sisi tuendelee na kampeni yetu ya KATAA NDOA
Bango kubwa sana litengenezwehamjui mnataka nini
Kataa Ndoa
Afya Yako ya Akili ni Bora Kuliko NdoaKijana Kataa Ndoa
Ndoa ni Wizi
Matumiz na mahitaji anatoa?Salaam wakuu, niende kwenye mada. wakuu hivi ikiwa mume(wandoa) ana tabia kama hizi maana yake huwa ni nini anajaribu kuwasilisha ujumbe gani. Mimi nina huyu mume wangu ambae hana wivu na mimi, yuko bize the whole week hana siku ya mapumziko kukaa nyumbani. He never go out with me, hata kazini kwake hajawahi kunipeleka. Nina maamuzi ya kufanya chochote, kwenda popote, na yeyote, mda wowote, sometimes ananiagiza mahali hata mda wa usiku.. He just doesn't care at all, na wala haulizi yani sio shida zake kabisa!! Nimeongea nae hadi nimechoka.
Wanawake wenzangu Kuna ambae unapitia haya na bado unavumilia? Umewezaje!? Na kwenu wanaume mwenza akifanya haya ana maana gani? Nahitaji ushauri wenu please.
🤣🤣🤣Jana umechoma 350k, Leo umeamua kuingia na sera nyingine ili ujipoze machungu.
Ko mkuu wale 2 ulitoa jumla bei gani??, kila mmoja wapo🤣🤣🤣
Huwa nanunua malaya na jana nimenunua malaya kwa sababu nadumisha kampeni ya KATAA NDOA
200kKo mkuu wale 2 ulitoa jumla bei gani??, kila mmoja wapo
We si ulisema jumla umetumia 350k??200k