Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
WanaJF,
Lile jambazi sugu lililoua polisi constable mmoja na kumjeruhi mkuu wa upelelezi kituo cha USA nalo limeuawa usiku wa kuamkia leo maeneo ya Monduli ambako lilikuwa limejificha. Kwa habari zaidi naomba mtulie nafuatilia tukio hilo kwa undani ili ikiwezekana nipate picha!!!
Video hiyo kwa hisani ya KibopaMchachuaji, picha nitaweka baadae kidogo.
Lile jambazi sugu lililoua polisi constable mmoja na kumjeruhi mkuu wa upelelezi kituo cha USA nalo limeuawa usiku wa kuamkia leo maeneo ya Monduli ambako lilikuwa limejificha. Kwa habari zaidi naomba mtulie nafuatilia tukio hilo kwa undani ili ikiwezekana nipate picha!!!
Video hiyo kwa hisani ya KibopaMchachuaji, picha nitaweka baadae kidogo.
Last edited by a moderator: