JONASON
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 455
- 688
Mambo ya maendeleo ya jamii mkuuBsc ya nini mkuu?
Mambo ya maendeleo ya jamii mkuuBsc ya nini mkuu?
Kwema bradha angu, hahaaa sikumbuki chochote eti,nahisi kila kitu hutokea Kwa sababu ,no need to regret. Vipi wewe unajutia nini?Wa moja kwema?
Nimefurahi sijaona ukijutia jambo humu.
Pole jmnMimi mwenzenu kwanza kila siku lazima nilie na Mungu, maishayangu ni shida sina ajira vyet nnavyo, ndoa yangu haina amani sjui nifanyeje niwe na raha mana napungua kilo kila siku.
Najuta kujiunga na madhehebu ya kishetani kwa ajili ya kupata utajiri.
Nimeshatoa kafara ndugu zangu wawili ( 02 ) mpaka sasa.
Najutaaaaa roho inaniuma sana, na siwezi kutoka kwenye hii dhehebu ya kishetani.
Hii ni siri yangu ya muda mrefu unao uchoma na kuumiza moyo wangu.
Yeah, that's the spirit.We get lemons and make lemonade from them.I can not think of anything as well.Kwema bradha angu, hahaaa sikumbuki chochote eti,nahisi kila kitu hutokea Kwa sababu ,no need to regret. Vipi wewe unajutia nini?
Hahahahaa...nacheka km mazuri..huyu dogo ht ukimuona tu unajua huyu mtundu sana..yaan kakorofiii...kamewah kutufungia nje..kakaja fungùa saa8 usk yaan ilikua ukimgombeza tu anakimbilia chumban anajifungia mazima..utaita wee..wapii.kakaa kimya..jaman...nakwazika..ila maajabu shuleni ticha ake ananiambia Luiz is very smart..had nikamwambia kwan kuna kina Luiz wawili hili darasa...dah..ni mtata sijapata ona..lakini naambiwa na mm nilikua hv...baba yetu alikua hvi..mtata,mbabe,dah ..siku hiz simpigi..nampa postive discpline..ila hazisaidii..ukimuacha kwenda mjin hajishughulishi..anafungulia kuku makusudically wanakula maua yangu..chaa!
Mmesoma kozi gan maigizo auKUHUSU KOZI NADHANI TUNAFANANA
NATAMANI KUANZA FORM FIVE
Sitasahau siku niliyomfi...r..a kwa bahati mbaya mpenzi wangu kipenzi niliyepanga kuja kumuoa.Ilikuwa ni tukio la aibu sana kwangu na kwake pia.Aliikalia vibaya ikazama yote mkyundyuni na akasikia maumivu makali sana ilipoingia yote.Akajikaza ili nitoe na kila nikijaribu kuitoa alikuwa anaumia sana,nikawa naivuta kidoo kidogo mpaka ikatoka na damu kidogo niliyomchana mkyundyu.Alilala ndani weeks 3 tunauguza kidonda.Nisamehe sana Judith
Mimi nataka kujua umeanza lini kusema uonggoo! fanya kunitag nioneNishasema mbona? Lol
Wew kuzama hivihivi how possible tena bila kilainishi, mlikua na yenu jamboSitasahau siku niliyomfi...r..a kwa bahati mbaya mpenzi wangu kipenzi niliyepanga kuja kumuoa.Ilikuwa ni tukio la aibu sana kwangu na kwake pia.Aliikalia vibaya ikazama yote mkyundyuni na akasikia maumivu makali sana ilipoingia yote.Akajikaza ili nitoe na kila nikijaribu kuitoa alikuwa anaumia sana,nikawa naivuta kidoo kidogo mpaka ikatoka na damu kidogo niliyomchana mkyundyu.Alilala ndani weeks 3 tunauguza kidonda.Nisamehe sana Judith