Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Izame afu kutoka iwe shida etWew kuzama hivihivi how possible tena bila kilainishi, mlikua na yenu jambo
Izame afu kutoka iwe shida etWew kuzama hivihivi how possible tena bila kilainishi, mlikua na yenu jambo
Hao walikua na yao tu either kilamtu akiogopa kumuambia mwenzie aanze au jamaa anakibamia tena kadogo sana.Izame afu kutoka iwe shida et
Fact mkuu. Mtalimbo hauwez kuzama kwenye shimo la panya kiurahisi. Au huenda dem ni mzoefu tundu ni pana ilivoteleza tu ikaingia akaanza kujifanya ni maumivu ndo maana hakutaka jamaa achomo kwa utamh aliokua anaskiaHao walikua na yao tu either kilamtu akiogopa kumuambia mwenzie aanze au jamaa anakibamia tena kadogo sana.
Kweli mkuu... Hili hata me wazazi naona wamekuwa kikwazo ilaa acha tu sina namnaa..!! nawaza hata ningejichanga ninunuee Boda boda home waifanyie bussiness ila ndo hivyo wazazi hawataki kusikiaaNajutia san kipindi nasoma chuo kuacha kuendelea kufanya biashara na kujikita katika masomo vizuri. Sasa nimemaliza chuo nina gpa nzuri nipo tu sina hata pesa ya vocha kazi hakuna daah wale niliokuwa nafanya nao biashara zama izo tupo chuo biashara zao zimekuwa kubwa mitaji imepanuka na maisha yameanza kuwanyookea though wengine waliacha chuo na wengine wamemaliza ila kwa tabu sana na ufaulu mdogo. Mimi nimebakia tu na gamba langu zuri pasi na pesa mfukoni.
Nimekubali kosa nilibeti vibaya aisee na nakumbuka mshua wangi alikuwa ananikomalia niache kabisa habar za biashara nisome kwa bidii daaah sema nn i will bounce back stronger.
Polee... Ila siulienjoy Lkn!??Nikiwa O level teacher kanigegeda ofisini usiku, it was so sad.
Polee... Ila siulienjoy Lkn!??
Daaaah... Vizuri hakukujaza mzgo Wala Ngwengwe...Nienjoy nini sasa mzigo wa kulazimishwa gizani, shwain
Makanisa hayoMkuu ulilazimishwa nini?? auilikuwaje ukaoa mtu usiempenda
Wakwangu sitaki hata kumuona.hata sitaki kusikia sauti yake kwenye simu.Kuishi ndani ya ndoa wote mke na mume hatupendani, hadi padre katupa go ahead,kesho kla mtu anachukua kilicho chake na kutawanyika
Hii course niliyosoma inanichomesha Mahindi home... Najutaaaaa
Nawewe tafuta demu msomi ule hela yake alafu rudi shule hata kma ulikuwa huna mpango kwa hela yakeMsamehe tu jamani..mbona wanawake wako wengi tu? Wazuri, waliosoma, wenye kipato...ni rahisi kumsahau huyo demu
Najutia kua sikumt*mba dem mmoja iv alkua best angu na alkua anakuja hostel kwang. Siku moja alkuja akajilaza kam kasinzia kumbe anatak dudu, mm nkiwa naogopa kumuanza coz cjawah mtongoza, badae akaondoka ndo hakurud tena. Badae akawa makam wa chuo. Akawa popular, mtu wa route za nje tu,, akanisahau mawasiliano yakaisha. Najuta ningemt*mba ningepata heshima mpaka leo.
Mm kiazi kweli, tena sijui cha wapi
Hahhhh pole mkuuNajuta kusoma baed kwa kufuata mkumbo na boom,haikuwa ndoto yangu kabisa,aliyenipa huu ushauri Mungu anamuona.
Pole Mkuu, ndo maisha hayaWakwangu sitaki hata kumuona.hata sitaki kusikia sauti yake kwenye simu.
Sababu kuu ni jeuri na ujuaji
Umenikumbusha mbali sana..ila mimi huwa sijuti kabisa.najutia kukosa subira dhidi ya ex wangu ambaye ni wife material.NILIMPIGA TUKASEPARATE NA HAKUNISAMEHE MPAKA KESHO SITARUDIA TENA KUPIGA MWANAMKE .MUNGU NIJAALIE SUBIRA.
Mkuu umenivunja mbavu zangu.Kuzaa na jinga fulani hivi(zezeta)
Daah mzee alizinguaWrite your repry...
hii ni ukweli..
kipindi nipo la saba,pale bayroad tulikuwa na team yetu ya sis madogo,akajaga mzungu flani akaweka kombe pale team zipo 6, sisi team yetu tukabeba ndoo,zawadi ilikuwa kupelekwa australia na yule mzungu halafu tutacheza mech team ya huko ya mayanki kama sisi jina nmeisahau, sasa kuna wakenya wawili walipewa kaz ya kupita mahome kwetu kuwaomba wazazi waturuhusu tuondoke, wenzangu wazaz wao wakawaruhusu, mie mzee home akakataa kata kata! nsiende! wakambembeleza wee! mzee kazingua anasema mimi nna mtihani wa la saba so waende na wengne! alafu nlkuwa captain sasa!
kesho yak wenzang wanakuja kuniaga wanaondoka ivoo?
hakuna muda niliolia kama huo toka kuzaliwa! week nzima sikumbuk kama nilikula!
maza nae alkuwa upande wa mzee
nilichoma moto kila kitu nilichonacho kuhusu mpira mpaka juz ndo nimeanza kucheza kitaan
mzee wangu mpaka leo anasema nmsamehe sana huwenda ile ndo ilikuwa ridhik yang toka kwa mungu!
wenzangu wote toka walvoenda sijawah kuwaona tena!