Walevi wana visa sana πNikimkumbuka naishia kucheka
Sasa alikua anakaa floor ya juu huko, siku anajua kuna jirani kamkera ni ataenda kumnywea then anarudi usiku kukiwa kumetulia ni ataanza kutukana kwanzia chini mpaka afike kwake kwa mwendo wa kilevi muhusika kashashiba maneno yote
Aisee babe kulwa nilikumiss embu uje leo basi.π
Wanywaji wachache sana wanaweza sahau nyumbani.π
Mi sio doctor sasa π€£acha hizo doc bila kujaribu siwezi kukubalii kama tumeshindwana
TrueWanaume huwafuata Wanawake kwa mambo mawili, ambayo ni MAPENZI na SEX. Lakini inapofika hatua ya Kuoa, Wanaume hawaoi kwa sababu ya SEX au MAPENZI, wanaoa kwa sababu ya kutafuta AMANI NA UTULIVU WA NAFSI (STABILITY).
Mwanaume anaweza kukupenda na asikuoe. Mwanaume anaweza kuwa anafanya mapenzi na wewe tena mkadumu kwa muda mrefu lakini asikuoe. Lakini akampata mtu mwingine akamuoa hata kama mahusiano yake na mtu huyo yalikuwa ya miezi miwili.
Wanaume wengi hutizama mbali zaidi pale wanapotaka KUOA. Huwa hawafikirii habari za suti kali za harusi na sherehe ya gharama, vitu ambavyo hufikiriwa zaidi na wanawake kila wanapoiwaza ndoa.
Wanaume huwaza, iwapo mwanamke huyu anaweza kuijenga familia bora, anaweza kuwahudumia watoto? Hatanipa stress huko mbeleni, hatanisumbua katika masuala ya tendo la ndoa?
Wanaume wanaotaka kuoa huwa hawapendi wanawake wanaowapa mawazo, ndio maana wengine hukaa muda mrefu kwenye mahusiano lakini unajifikiria bila sababu ya msingi anakuja kuoa mtu amekaa nae kwa miezi miwili.
Ni ile utafutaji wa AMANI YA NAFSI.
Sex is a pleasure, love is an affection, RESPECT is Stability.
Kigezo cha chura kimetolewa, oooh Asante Mungu akili imeanza kuwarudia sasa
Hiv huu uzi umeandikiwa?Nilijua umeuliza swali unataka ujibiwe... kutokana na kichwa cha uzi.
Hata hivyo jibu nililoliandaa kichwani kabla ya kufungua uzi ni
Wanaume wanafata manyonyo kwa wanawake.
MK hata shoga anao.
Hapana doctor Joanah wale wanakuwa wanapumzika kwa muda then waendelee na safari.πWale wanaolala njiani si ndio huwa wanajua wamefika nyumbani?π
Nije muda gani?
Hiv huu uzi umeandikiwa?
Sweetheart umeniita au umenikumbuka tu?
Hivi we unajua lakini kinacho nikuta pindi nikiona comments zako we bibi?!!
Mi roho inauma sana ni kwanini nimechelewa kuzaliwa hadi nimeikosa hii fursa ila mungu anakuona !!
Mwanaume anayekupenda na wafuture na wewe atakupenda na kukujali na kukuona special ila haya mapita njia yanachukua hii kauli ya mtu mwenye future hatokudhamini nakukusaidia ili akupime huo niuongoWanaume wanaotaka kuoa huwa hawapendi wanawake wanaowapa mawazo, ndio maana wengine hukaa muda mrefu kwenye mahusiano lakini unajifikiria bila sababu ya msingi anakuja kuoa mtu amekaa nae kwa miezi miwili.
Doh umeona sasa mambo Moto Moto kama hayo nitayapata we tena kama sio kwako tu!!Aahahahahahahahaaaa Damas.....πππ
Mabusu kedekede kwako yakupe jotojoto kupunguza kipupwe kilichotanda kanda za juu/chini; kusini/magharibi; mashariki/kaskazini.
Nakuona ujue.. π .
Chinekee... sasa naanza rasmi kukusongea ugali. Liwalo na liweNiko mgonjwa...
Sina hamu ya kula kitu chochote zaidi ya uji wa moto....π .
Vile uβmtaalam wa kukoroga uji.....π.
Waaow... on a serious note... hii post imenifikirisha sana...Ila babu uongo mbaya nimekumiss
Oh really?Waaow... on a serious note... hii post imenifikirisha sana...
Miss u too sweetheart
Chinekee... sasa naanza rasmi kukusongea ugali. Liwalo na liwe
Ha haa yani kuna baba mtu mzima alikua hapa jirani ye alikua analewa mpaka analetwa na toroli siku nyingine kalewa chakari huku kajikojolea ila hakosei kuwaelekeza njia ya home