Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,538
Mara nyingi kwenye suala la kuoa wanaume tunaangalia tabia na mtazamo wa mwanamke na sio muonekano.
Asilimia kubwa ya wanawake wenye maumbo ya kuvutia huwa tunawatamani lakini hatuwawazii sana kuwaoa na kuishi nao.
Sasa ninashangaa ni kwanini mwanamke aende kujibadilisha umbo wakati hapo atatamaniwa tu na wanaume wengi mitaani.
Asilimia kubwa ya wanawake wenye maumbo ya kuvutia huwa tunawatamani lakini hatuwawazii sana kuwaoa na kuishi nao.
Sasa ninashangaa ni kwanini mwanamke aende kujibadilisha umbo wakati hapo atatamaniwa tu na wanaume wengi mitaani.