Ni jambo gani mzazi/ndugu yako aliwahi kufanyiwa kisa umasikini hujalisahau hadi ukubwani ?

Ni jambo gani mzazi/ndugu yako aliwahi kufanyiwa kisa umasikini hujalisahau hadi ukubwani ?

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
1772217710413.png
 
Mzee alimkopa rafiki yake 1.5m atairejesha mwsho wa mwezi unaofuata. Yule rafiki yake akamwambia hela anayo ila sharti ni moja amuuzie gari kwa tsh 3m ili apate hela ya kutulipia ada, gari yenye thamani ya 12m+.

Mzee akapata mteja akauza 9.5m yule rafiki yake alivyojua na ukaribu ukapungua na urafiki ukafa jumla.

Ilinipa fundisho kubwa sana the same thing ilinitokea, nilikuwa na kipengele cha kodi na nliekuwa namuona rafiki kwangu atakaenisaidia ndio alikuwa mstari wa mbele kunibagaza vibaya mno. Nilimuomba aniazime 80K tu nijazie kodi ntampa ndani ya siku 4 zijazo. Aliniambia nakupa ila kwa riba kila siku 20K vinginevyo niuzie kitanda chako. Nilichoka
 
Mzee alimkopa rafiki yake 1.5m atairejesha mwsho wa mwezi unaofuata. Yule rafiki yake akamwambia hela anayo ila sharti ni moja amuuzie gari kwa tsh 3m ili apate hela ya kutulipia ada, gari yenye thamani ya 12m+.

Mzee akapata mteja akauza 9.5m yule rafiki yake alivyojua na ukaribu ukapungua na urafiki ukafa jumla.

Ilinipa fundisho kubwa sana the same thing ilinitokea, nilikuwa na kipengele cha kodi na nliekuwa namuona rafiki kwangu atakaenisaidia ndio alikuwa mstari wa mbele kunibagaza vibaya mno. Nilimuomba aniazime 80K tu nijazie kodi ntampa ndani ya siku 4 zijazo. Aliniambia nakupa ila kwa riba kila siku 20K vinginevyo niuzie kitanda chako. Nilichoka
Umasikini hauumizi tu mfuko, mara nyingi hujaribu kuvunja heshima, kuharibu mahusiano na kufichua tabia halisi za ndugu, marafiki na jamaa. Kisa cha mzee kuwekewa sharti la kuuza gari lenye thamani ya zaidi ya milioni 12 kwa milioni 3 il apate mkopo wa milioni 1.5 kinaonesha wazi jinsi watu wanavyoweza kutumia udhaifu wako kiuchumi kama fursa ya kujinufaisha, shida zako ni furaha kwao.
 
Umasikini hauumizi tu mfuko, mara nyingi hujaribu kuvunja heshima, kuharibu mahusiano na kufichua tabia halisi za ndugu, marafiki na jamaa. Kisa cha mzee kuwekewa sharti la kuuza gari lenye thamani ya zaidi ya milioni 12 kwa milioni 3 il apate mkopo wa milioni 1.5 kinaonesha wazi jinsi watu wanavyoweza kutumia udhaifu wako kiuchumi kama fursa ya kujinufaisha, shida zako ni furaha kwao.
Hakika mkuu na hii ipo sana kuna wengi tu nimeshuhudia wakilazimika kuuza mali zao kwa hasara. Unapopata matatizo ndio watu huonesha rangi zao halisi.
 
Back
Top Bottom