Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

KERO YANGU TBC NI TAARIFA YA HABARI DAKIKA TANO MMESHAMALIZA.RADIO YA KANISA INATANGAZA HABARI NYINGI ZILIZOTAFITIWA KWA DAKIKA KUMI NINYI MNASHINDWA NINI.NDIO MAANA RAISI AKITUKANA WATU NAMKUBALI.HATA MAFANIKIO HAMTANGAZI? WALE WEZI WA PESA ZA UMMA JE WANA NAFASI TENA AWAMU HII?
Mimi hua wananiudhi wakisema tujiunge na dodoma hivi kuna haja gani ya kufanya vile? Badilikeni tbc mnatukosesha uzalendo habari zote ni kusifia tu miradi ifike mahali hudumieni jamii kuna mambo mengi tu yanayoweza kuwa inspire wanachi hamyatangazi mnakalia mara sijui kuweka jiwe la msingi dispensary tusifanyiane hivyo Mazeeee
 
Mimi naanza na hawa Clouds Media Group

Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne.

Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana.

Njia pekee ya kuvutia watu kwenye tamasha sio kuharibu vipindi vyenu ni kuwork smart tu. na watangazaji walivyo wavivu nao kila dakika wanazungumzia hiyo show as if ni sherehe ya kitaifa.

Lazima mtambue kuwa sio wote wanaosikiliza hiyo radio wanayo access ya kufika kwenye hilo tamasha hasa sisi wa mikoani.

Mfano mimi huku rombo hilo tangazo la fiesta na hayo maelezo ya fiesta ni non sense hayana faida yoyote kwangu zaidi ni kero tu. Mimi ninachokihitaji ni taarifa. nahitaji information.

Pili:

View attachment 1280875

Radio one (IPP MEDIA) na studio yao ina muonekano wa ovyo sana. studio haina mvuto kabisa. Bi Joyce kama mkuu wa superbrand mnapaswa kuboresha hii studio iwe na muonekano wa kisasa ili muweze kustream online kisasa.

Atleast iwe kama ya Wasafi Katika Radio zenye on air studio kali Tanzania, probably wasafi fm ni namba moja Tanzania.

What future hold for radio?
Modern society is image-obsessed, so radio can maintain its individuality by not following suit.

From the very beginning, the advantage of radio has been its ability to boost the imagination via the content being broadcast.

Adding images to its content could make it lose its charm and scar the future identity of radio itself.
Hapo naona povu linakutoka. Mada nzuri unashindwa kuitetea. Anyway we all humans..


*Fiesta clouds ndio msimu wake huu wacha wajigambe, wacha wajipe promo.

*Kuna haja gani ya kukereka na studios za radio wakati radio unaisikiliza radioni...anyway sisi ndo watz.

Kitu kikubwa kinachonikera kwenye vipindi vya radio ni KUIGANA.

Kuigana kianzia namna ya utangazaji, setups za vipindi..

Kuanzia vipindi vya magazeti, vya mchana na michezo.

Nafikiria sijui ndo ile learning from the best...

Licha ya kukua na kujifunza kuna haja pia ya kuwa na ubunifu.
 
Mbona ni nyingi tuu wewe tuu unapenda nini mbona mimi siijui Radio ya TBC sijui huwa inaitwa je wala TV yake na hutakaa unisikie nikilalamika TIBISII wala nini naboeka tuu ukienda kwenye huduma za jamii ndio shida ila wala kwangu ni mwiko kabisa hata kama wanaonyesha mpira wa kiwango cha HD siiwashi ng'ooo
Uko sahihi kwa mtazamo wako,ni kama Mimi clouds au wasafi hua sifuatilii hata kidogo, tunatofautiana ni kawaida hatuwezi penda vitu sawa
 
Teh teh teh...hua nawasikiliza nashangaa muda wote huo kipindi kimoja? Mhh hivi vipindi vingine hakuna hata vya elimu.
Kuna redio mbeya inaitwa dream FM wana kipindi cha michezo eti Massa matatu yaani kama kweli wangekuwa serious hata nusu saa hawamalizi muda mwingi ni ujinga mtupu eti kuna wachambuzi wa mpira yani wana upeo mdogo vibaya sana jambo moja kila mchambuzi anaongea nusu saa wako kama wanne kujitia kuingiza maneno ya kiingereza wakati hawakijui kabisa,lahaja zao mbaya yaani ni takataka tupu
 
Hiki kituo cha radio wasafi fm kwenye kipindi chao cha bloku 89 kuna yule manzi black na yule dogo wa kiume mwembamba huwa wana maswali fyongo sana. In short wanaboa wana.
 
Hao clouds watangazaji wao kila kukicha wanazid kuwa watoto

1. Kuna huyu babras Yan anajiongelesha utafikir n Kaden/mdem kumbe n n limaza la siku nyingi ananiuz kwa kujiongelesha Kama msichana kipo na boyfriend wake kinataka kumpiga mzinga.

2. Masoud huyu anajidai mjuaji na kila kitu anakijua pia udini ameuweka kwenye mfuko wa shati

3. Hawa waleotena hawanashida gawajivungi wanabalance maisha halisi na Kaz sema huwa hawaandai kipindi huwa wanakutana kupiga stori Mana wanaeza Anza ongea inshu flan mtu akasema Jambo Basi kipindi kinabadilika hapo.

4. Xxl nao n walewale ukiwasikiliza utadhan wanaishi Miami kumbe wote Hanna hapo James anakibeba kipindi kwa dk5 zake anazopata

5. Jahazi hawa hakuna akili kabisa kila wanachoongea wanakilazimisha kiendane nangono pumba kabisa.
Tena huyo George ndo jinga lao.

5. Michezo Alex anauliza maswali kina Jeff kwa mfumo wa endelea kusema hv swali halimpi Uhuru muulizaji kujibu.

Efm

Hawa jamaa walianza vizuri kutupigia ngoma Kali Ila wakachenji mzee saz singel zimezid kipimo na ndio wametuletea mfumo wa kusikiliza nyimbo sekende 20 Yan wanaboa Sana.


Radio pendwa kwangu n RFA

1 jumapili saa nne sitosahau
2. Jumapili saa nane njia panda
Weekdays RFA usiku bolingo n mwendo wa kula mayenu tuu

BBC nao miyeyusho kilasiku chadema na kusema serikali za afrika mabaya Yan utafikir kongi watu hawanywi via au Kule mogadishu
 
Kuna tangaxo la kijinga la kondomu zakije lile neno kujamiana sijui waliliweka lann Yan wajinga Sana Kaz ya kondom inajulikana

Bora usikilize DMX ubran heat
 
Back
Top Bottom