'Fiesta condom' kwangu ni kondomu bora sana kuwahi kuitumia kutokana na namna ilivyo, haipotezi ladha, yaani ni kama kavu. Sasa shida ni kuwa kwa sasa imekuwa imekua ngumu kidogo kupatikana, yaani nimeshaitafuta sana nimeikosa.
Kondom zingine zinazopatikana kwa wingi nikitumia naona hakuna...
October 12th: Fiesta Nacional, Spain’s controversial National Day
October 12th marks the Fiesta Nacional of Spain, a national holiday that commemorates the exact date when Christopher Columbus first set foot in the Americas in 1492.
Previously known as Día de la Hispanidad (or Hispanic Day)...
Huyu hapa mshindi wa Supa Diva 22 inayosimamiwa na Fiesta kipindi cha kuendesha show za fiesta mikoani. Afichua siri ya mafanikio yake hadi kushinda.
Full story:
Baad ya Ay na Mwanfa kuwashtaki Tigo ilikuwa kimbembe jamaa wakiwa wadhamini wakuu wa Tigo fiesta wali wa block kabisa hao wawili kupafomu kwenye tamasha hilo haikujalisha ukaribu wa FA na Ruge ,wenye pesa zao walikataa kabisa
Kipindi hicho AY alikuwa mtu wa kusafiri sana ila FA alikuwa kama...
Wanajamvi Habari.
Hivi karibuni baada ya msanii Diamond Platnumz kuchaguliwa kuwania tuzo za BET kumeibuka makundi mbalimbali hasa baadhi ya wasanii na wanasiasa kulazimisha wasanii na wadau wote wa muziki na wasio wadau wa muziki kumuunga mkono Diamond.
Lazima tuseme ukweli kuwa hata Diamond...
Mimi naanza na hawa Clouds Media Group
Clouds FM mnazingua sana kwa jinsi mnavyoi promo hiyo show ya fiesta mnakera sana tangazo kila baada ya dakika nne.
Hakuna cha maana mnazungumza ni fiesta tu. Yaani radio yenu haina maana yoyote ni issues za fiesta muda wote. Mnaboa sana.
Njia pekee ya...
Mkubwa fella ambaye ni mmoja wa manager wa diamond ameulizwa swali wakati akifanyiwa mahojiano na bongo5 akaulizwa mkialikwa mfanye show ya fiesta mtaenda mkubwa fella akamjibu mwandishi " si tunaweza kufanya show yoyote hapa nyumbani hata iwe fiesta Wala hatuna tatizo Kama tutakubaliana mpunga...
Baada ya Wasafi festival kuiteka Dar, Jumamosi kwa tamasha lililofanikiwa kwa kiasi kikubwa na kuwa gumzo kila kona. clouds ikimtumia soudy brown akiwa na matarumbeta wanawashawishi watu maeneo ya kijimboni kusikiliza clouds.
Ukiachana na Hilo clouds wameanzisha slogani ya Kupinga 100% mziki wa...
Wakati Dr. Kigwangala akiwa Naibu Waziri wa Afya alituambia ni mwiko kutangaza huduma za afya kupitia vyombo vya habari. Akamfungia Dr. Mwaka kwa sababu hizo hizo za kutangaza huduma za afya ambazo ni mwiko kutangaza sio Tanzania tu bali duniani kote huwa iko hivyo.
Cha kushangaza kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.