Ni ipi kati ya TMDA na TRA inalipa vizuri?

Ni ipi kati ya TMDA na TRA inalipa vizuri?

Hii sector binafsi labda ungeanisha kidogo ni zipi ila Kwa ujumla wake Kuna sector binafsi ni Ujinga mtupu mara mia hata halmashauri, tumetokea huko kabla ya kuamua kuingia serikalini,halafu pia serikalini Kuna taasisi zipo vizuri mno kwenye kukua kitaaluma na kiuchumi pia.
Good for you mkuu, Kuna watu binafsi wanakula bingo tu ingawa mwanzo ni mgumu
 
Mimi sio tajiri ni wakawaida tu ila halmshauri kwangu hapana na huu ni ukweli wangu nguvu zangu acha niwekeze kwenye mengine tu nitafika kuliko hyo njia marafiki wote tu ni kilio na stress tupu
Lazima kuna kitu utakuwa unategemea tu kuendesha maisha yako this is explicitly truth huna pesa ya kula huna Sehemu ya kulala au unabadili magetho ya washikaji tu umepata kazi almashauri hizo guts za kukataa kazi unazitoa wapi😂😂 sikuongelei wewe personally ila naongelea in general life aspect.
 
Lazima kuna kitu utakuwa unategemea tu kuendesha maisha yako this is explicitly truth huna pesa ya kula huna Sehemu ya kulala au unabadili magetho ya washikaji tu umepata kazi almashauri hizo guts za kukataa kazi unazitoa wapi[emoji23][emoji23] sikuongelei wewe personally ila naongelea in general life aspect.
Labda hao mkuu, ila kufikia geto la mshikaji nitarudisha mpira kwa kipa kurudi home nijipange kwanza
 
Lazima kuna kitu utakuwa unategemea tu kuendesha maisha yako this is explicitly truth huna pesa ya kula huna Sehemu ya kulala au unabadili magetho ya washikaji tu umepata kazi almashauri hizo guts za kukataa kazi unazitoa wapi[emoji23][emoji23] sikuongelei wewe personally ila naongelea in general life aspect.
Kama ni Binti hawezi kukuelewa
 
Labda hao mkuu, ila kufikia geto la mshikaji nitarudisha mpira kwa kipa kurudi home nijipange kwanza
Kama ni Binti hawezi kukuelewa

Labda hao mkuu, ila kufikia geto la mshikaji nitarudisha mpira kwa kipa kurudi home nijipange kwanza
Sawa sawa mkuu ila mshukuru Mungu unapo pakurudi na watu wa kuwategemea ila shida zikikuzonga huna pa kwenda huna wa kumtegemea 😀😀utatafuta site za ujenzi ukabebe zege huko almashauri ni mbali sana
 
Kwa system ya utendaji wa kipumb.avu mtu timamu na yuko vizuri hawezi kufanya huko kazi aisee, vipanga wengi wako sector binafsi watu walio aggressive na Wana makampuni, serikalini ni kichomi, utendaji wa slow slow ka konokono na wizi
Yani uache kazi serikalini eti uende sector binafsi hizi zinazomilikiwa na wachina?mara Mia ufanye hata halmashauri huko kuliko kuwa hizi sector binafsi uchwara za wachina.
 
Yani uache kazi serikalini eti uende sector binafsi hizi zinazomilikiwa na wachina?mara Mia ufanye hata halmashauri huko kuliko kuwa hizi sector binafsi uchwara za wachina.
Mkuu sector binafsi zipo zinazojielewa na sio huo ujinga wa wachina na wahindi zile sio kazi ni vibarua vile
 
TMDA VS TRA

Habar wadau mpo pouwah.

Naomba mwenye kujua ni Agency ipi kati ya hizo yenye kulipa vizur?

A) Mishahara ipoje
B) Allowance wapi ni nyingi zaid..

Maana kuna rafk yangu wa karibu sana ameniambia ofcn kwao amepokea barua mbili ndan ya wiki sasa anashindwa kujua achaguwe wapi Ahamie...
Yeye ni Muhasibu yupo Halmashaur.......
Nawasilisha...


Watu wengi wanashauri uende sehemu fulani pesa ipo ila hawasemi mshahara ni shilingi ngapi, extra duty allowance ni kiasi gani, hawazungumzii safari, per diems, honorariums, bonuses, special tasks etc na hii inakua ngumu kulinganisha.

Watu wanaofanya kazi kwenye taasisi husika wakwambie:-

Mshahara ni shilingi ngapi, posho ya nyumba na usafiri, per diem ni sh ngapi na safari ni nyingi kiasi gani. Mfano, mkisafiri nje ya kituo cha kazi hua ni kwa siku ngapi na per diem ni kiasi gani. Pia overtime allowance ni sh ngapi na hua inalipwa mapema kiasi gani?

Kwa mtazamo wangu, kama mshahara unazidi 3 M, Housing and Transport Allowance inafika 700k, per diem ni 150k na safari za nje ya kituo hua ni 2 weeks angalau 6 times a year na overtime inafika 40k per day na wanalipa fasta tu baada ya kuclaim, hiyo sehemu ni nzuri kwenda.

Kama kuna taasisi yoyote hapo juu ina hizo benefits, basi nenda. Kama hakuna, nenda zako TCRA ukale maisha.
 
Watu wengi wanashauri uende sehemu fulani pesa ipo ila hawasemi mshahara ni shilingi ngapi, extra duty allowance ni kiasi gani, hawazungumzii safari, per diems, honorariums, bonuses, special tasks etc na hii inakua ngumu kulinganisha.

Watu wanaofanya kazi kwenye taasisi husika wakwambie:-

Mshahara ni shilingi ngapi, posho ya nyumba na usafiri, per diem ni sh ngapi na safari ni nyingi kiasi gani. Mfano, mkisafiri nje ya kituo cha kazi hua ni kwa siku ngapi na per diem ni kiasi gani. Pia overtime allowance ni sh ngapi na hua inalipwa mapema kiasi gani?

Kwa mtazamo wangu, kama mshahara unazidi 3 M, Housing and Transport Allowance inafika 700k, per diem ni 150k na safari za nje ya kituo hua ni 2 weeks angalau 6 times a year na overtime inafika 40k per day na wanalipa fasta tu baada ya kuclaim, hiyo sehemu ni nzuri kwenda.

Kama kuna taasisi yoyote hapo juu ina hizo benefits, basi nenda. Kama hakuna, nenda zako TCRA ukale maisha.
LATRA kukoje mkuu interms of what u've mentioned above?
 
TMDA VS TRA

Habar wadau mpo pouwah.

Naomba mwenye kujua ni Agency ipi kati ya hizo yenye kulipa vizur?

A) Mishahara ipoje
B) Allowance wapi ni nyingi zaid..

Maana kuna rafk yangu wa karibu sana ameniambia ofcn kwao amepokea barua mbili ndan ya wiki sasa anashindwa kujua achaguwe wapi Ahamie...
Yeye ni Muhasibu yupo Halmashaur.......
Nawasilisha...
Mwambie aende pesa zinakokusnywa TRA.
 
Mi binafsi ni mwajiriwa wa halmashauri.

Nishatuma application/transfer kwenye mashirika 12 kwa mwaka huu (2021) tu.

Kati ya hayo...
1 lilininibu kwa barua HAWANA NAFASI hivyo wataangalia mwaka ujao wa Fedha kama wananihitaji wataniitaa.

2 wamenipigia simu na kuniambia nimefanikiwa hivyo nisubiri barua.

8 wamekaa kimyaa. Ila sijakata tamaa naamini watanijibu tu.

Hili la barua kushuka zaidi ya moja hutokea.

Na Mimi nategemea hivyo....🤗🤗🤗

Na nikwambie tu nitaendelea kuomba mpaka nipokee barua MKONONI.

Wiki ijayo natuma Tena kwenye TAASISI 3..!!!

Mwaka 2022 nimepanga kutuma barua kwenye mashirika 14..!!

Huwa nikitaka langu situlii mpaka nilipate.

Na kwa halmashauri NITAONDOKA TU..!!!

Hili la transfer nililianza January 2021 kwa kila mwaka kutuma barua zaidi ya 10 kwa mashirika tofauti.

Target yangu ni mashirika 14 Nisha ya fanyia research na Nina full info kuhusu wao.

Mwaka 2021 nimetuma kwenye mashirika 12

Na mwaka 2022 natuma kwenye mashirika 14...!!!

Its not over until it's over.

#YNWA
Mkuu hii mikeka ilitiki?
 
H
Kapata barua ya uhamisho ila haisem habar ya Mshahara. Sasa ndio anauliza wapi aende.
focus yake ni mshshara na Marupurupu mengi yapo taasisi ipi hapo?
Huyo mtu anatarajia kutoa mchango gani kwenye hio taasisi?
 
Back
Top Bottom