KINGSLEE
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 842
- 1,063
TMDA VS TRA
Habar wadau mpo pouwah.
Naomba mwenye kujua ni Agency ipi kati ya hizo yenye kulipa vizur?
A) Mishahara ipoje
B) Allowance wapi ni nyingi zaid..
Maana kuna rafk yangu wa karibu sana ameniambia ofcn kwao amepokea barua mbili ndan ya wiki sasa anashindwa kujua achaguwe wapi Ahamie...
Yeye ni Muhasibu yupo Halmashaur.......
Nawasilisha...
Habar wadau mpo pouwah.
Naomba mwenye kujua ni Agency ipi kati ya hizo yenye kulipa vizur?
A) Mishahara ipoje
B) Allowance wapi ni nyingi zaid..
Maana kuna rafk yangu wa karibu sana ameniambia ofcn kwao amepokea barua mbili ndan ya wiki sasa anashindwa kujua achaguwe wapi Ahamie...
Yeye ni Muhasibu yupo Halmashaur.......
Nawasilisha...