Ni ipi kati ya TMDA na TRA inalipa vizuri?

Ni ipi kati ya TMDA na TRA inalipa vizuri?

Wengi wanakwambia tra deal hawajui tu mifumo Sasa kila kitu digital na ukipiga hela utaishia jela Takukuru kila corner so ka una tamaa na mwizi mwizi usiende TRA, na huko TRA walioko vizuri ni walioko borders
 
Wengi wanakwambia tra deal hawajui tu mifumo Sasa kila kitu digital na ukipiga hela utaishia jela Takukuru kila corner so ka una tamaa na mwizi mwizi usiende TRA, na huko TRA walioko vizuri ni walioko borders
Yaani hapa ndo nimeona kumbe watanzania sisi karibu wote ni wezi..hakuna mwanasiasa wala raia wa kawaida
 
Sio TRA tu wizi sana hawa watu kila eneo..jana nilikua temeke pale kuna mpangaji wetu alikunywa sumu yaani kuna dawa ina uzwa elfu 30...ila watoa huduma wanakuambia na risiti elfu 30 bila ya risiti elfu 20.

Yaani kila mtu ana tamaa
Nchi yetu ina shida kuanzia ma adili ya taifa sijui tumekosea watu kila mtu, mwizi janja janja na tapeli uaminifu hata wa kazi ni changamoto
 
Nimesema hatuwezi sema alitawala gizani nchi ikiwa hoi hakukua na madili kama sasa na mwisho nikasema alijitahidi kuficha tamaa yake.
Kama alishindwa Cha kuiba,kwanini hakujimilikisha maelfu ya ekari za ardhi Kama Kenyatta?au huo sio wizi?
 
TMDA VS TRA

Habar wadau mpo pouwah.

Naomba mwenye kujua ni Agency ipi kati ya hizo yenye kulipa vizur?

A) Mishahara ipoje
B) Allowance wapi ni nyingi zaid..

Maana kuna rafk yangu wa karibu sana ameniambia ofcn kwao amepokea barua mbili ndan ya wiki sasa anashindwa kujua achaguwe wapi Ahamie...
Yeye ni Muhasibu yupo Halmashaur.......
Nawasilisha...
😃😃😃Daaah!! cjui nani ameona au amehisi kama mm.
 
Back
Top Bottom