Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,141
- 143,728
- Thread starter
- #61
Nyani Ngabu we ni double agent??? Nakumbuka kuna uzi ulileta hapa ukiwa unamponda Magufuli kwa kuwakataza wapinzani kufanya mikutano...and here you are again!!!
Mimi sio zumbukuku wa kupongeza tu hata mambo yaliyo ya kipu.mbavu, yasiyo na tija, na yanayoturudisha nyuma.
Kwenye kukemea na kulaani nitafanya hivyo na penye kupongeza na kuunga mkono nitafanya hivyo.
Siangalii sura, itikadi, wala kadi ya chama. Naangalia tija tu.
Niko huru.