Ni hela ipi ndo imekuwa ngumu?

Ni hela ipi ndo imekuwa ngumu?

Upo sahihi kabisa.
Wengine na shughuli zetu halali pesa ipo vilevile.... Na matumizi yetu yamebaki vilevile.
Sema kumekua na unafuu mkubwa kwani bidhaa zimeshuka bei sana.

Maisha raha siku hizi na heshima imerudi
 
Ngoja kwanza watanzania wajefunze maisha halisi kipindi hiki wanayo takakiwa kuishi sio kuishi kwa ujanja ujanja .

Wewe uliwahi kuwona wapi Dunia ya leo watu wanalipa KODI YA NYUMBA kwa mwaka mzima zaid ya Tanzania ...,uliwahi kuona wapi Manunuzi iwe nyumba ,
Au gari za bei kubwa watu wananunu kwa CASH ni Tanzania ...uliwahi kuona wapi manunuz ya nyumba au kodi walio wengi wanataka DOLA baadala ya shiling zaid ya TANZANIA .

Hapo lazima kuna matatizo sio bure.
Absolutely!sie wengine tumeanza kulima,ili kufidia ule uwazi ulioachwa na pesa chafu!
 
Kuondolewa kwa posho za semina, mambo ya salary increment, kuongezeka kwa umakini kwenye taasisi za umma kama TRA, TPA, kumefamya watu waseme pesa imekuwa ngumu.

Kukosekana kwa masoko ya mazao, ukosefu wa ajira za serekali,kubana matumizi ya serekali, kumefanya watu waseme pesa imekuwa ngumu.

Kwa mtazamo wangu nadhani mabadiliko ya kiuongozi yatasababisha mabadiliko ya sura ya uchumi.Wakati wa JK ilikuwepo dhana ya 'maisha magumu', sasa ni pesa imepotea....baadhi ya watu wanapokea kauli na kuzikuza bila kuangalia uhalisia wake.
Utamkuta mtu maisha yake yapo steady kama miaka ya nyuma ila naye anaimba pesa imepotea.
umesema yote watu kwa jk hawakugusa mishahara ni mwendo wa per diem na pesa za safari, Tender za serikali vya juu vilikuwa vya kutosha. kwa kweli mfumo aliouleta Rais umeshusha ile purchasing power kwa zaidi ya asilimia 50
 
Kuna mtu mwingine hata kazi hafanyi wala hajishughulishi na chochote lakini ukimkuta anavyopayuka kuwa pesa hakuna mtaani kumekuwa kugumu hadi unajiuliza hiyo pesa itamfikiaje.
Mie naona wanaolalamika ni wale waliokuwa wamezoea madili so pesa ilikuwepo mda wote sasa baba yetu kabana hizo njia malalamiko ndio yanaendelea kuzidi
 
umesema yote watu kwa jk hawakugusa mishahara ni mwendo wa per diem na pesa za safari, Tender za serikali vya juu vilikuwa vya kutosha. kwa kweli mfumo aliouleta Rais umeshusha ile purchasing power kwa zaidi ya asilimia 50

Hilo la safari zisizo na mbele wala nyuma watu tumelipigia kelele sana humu.

JK alikuwa akisafiri anaambatana na rundo la watu.

Sasa piga picha jamaa alivyokuwa mtu wa trips za nje hususan Marekani.

Nahisi kuna watu walikuwa hata hawaigusi mishahara yao kabisa.
 
Upo sahihi kabisa.
Wengine na shughuli zetu halali pesa ipo vilevile.... Na matumizi yetu yamebaki vilevile.
Sema kumekua na unafuu mkubwa kwani bidhaa zimeshuka bei sana.

Maisha raha siku hizi na heshima imerudi
Heshima ipo,tena kubwa!wale vibosile wa t.r.a,t.p.a,b.o.t waliokuwa wanatuibia mademu kwa kuwaonga iphones,ipads,nyumba na vits leo wapo arosto!heshima inasambazwa kama kawa!na mademu wamepunguza nyodo,cause nowdays tuna wascrew hata kwa afu kumi...but during those Kikwete days,dah.!kama huna afu 50,hesabu fedheha!
Halafu pia ya viwanja na mashamba imeshuka!wajanja wachache walinunua ardhi for millions and billions of tshillings!ardhi ambayo ingeweza kufetch in 500k,ilikuzwa mpaka 5000000!na hii ilipelekea ardhi za pembeni yake kushoot up fasta!maskini tukabaki kupanga katika nyumba za watu tu!
Hela Chafu Ilituvua Nguo Hohehahe!
 
Kuna mtu mwingine hata kazi hafanyi wala hajishughulishi na chochote lakini ukimkuta anavyopayuka kuwa pesa hakuna mtaani kumekuwa kugumu hadi unajiuliza hiyo pesa itamfikiaje.
Mie naona wanaolalamika ni wale waliokuwa wamezoea madili so pesa ilikuwepo mda wote sasa baba yetu kabana hizo njia malalamiko ndio yanaendelea kuzidi

Hao ndo huwa wananiacha hoi kabisa.

Mtu hana shughuli yoyote ya kueleweka. Kazi kunywa viroba vya Konyagi na viroba original.

Halafu haishi kulalamika eti pesa hakuna.

Hii nchi ilikuwa imefikia pabaya mno kwa kweli.

Acha tu nidhamu irudi na watu tuishi maisha ya uhalisia zaidi.
 
Watu waliokuwa wamezoea vi trip vya majuu na kupiga per diems lazima walie.

Mazoea huwa ni mabaya sana.
Sasa mtu unaomba kazi na kusaini mkataba wa kulipwa 1M (mfano) alafu ukitekeleza majuku yako unataka kulipwa tena? hata posho za wabunge sikubaliani nazo.

Alafu mtu anayesema pesa imekuwa ngumu, atuambie ni lini ilikuwa rahisi.....na ilivyokuwa rahisi tuliifanyia nini?....Ukiangalia bei za bidhaa muhimu hazijabadilika sana, labda zile za misimu.
 
....
......Niko choma cha Nkola Landani memba wote wa jeifoo kunyweni bia saba saba kwa bili yangu !!!
 
Ukijua ni kwa nini watu wanaficha hela utajua ni kwa nini pesa haipatikani.
Kamwambie ngosha mwenzio JPM akupe majibu
 
Nyani Ngabu we ni double agent??? Nakumbuka kuna uzi ulileta hapa ukiwa unamponda Magufuli kwa kuwakataza wapinzani kufanya mikutano...and here you are again!!!
 
Kuna mtu mwingine hata kazi hafanyi wala hajishughulishi na chochote lakini ukimkuta anavyopayuka kuwa pesa hakuna mtaani kumekuwa kugumu hadi unajiuliza hiyo pesa itamfikiaje.
Mie naona wanaolalamika ni wale waliokuwa wamezoea madili so pesa ilikuwepo mda wote sasa baba yetu kabana hizo njia malalamiko ndio yanaendelea kuzidi
Mkuu,kuna binamu yangu yupo tfda,kuna siku wakati nasubiri matokeo yangu ya chuo mwaka jana,huku nikiwa arosto for days,aliniambia kwa week mbili nisiende popote!nikamuuliza,why?akanijibu kuna semina ya NGO Mmoja ya Uholanzi iliyokuwa inadili na Utafiti na Uboreshaji wa Ulaji wa Chakula cha Asili(organic foodstuffs)!sasa,nikamuuliza tena mie nimesomea beekeeping,mambo ya drugs and food nayawezea wapi!akaniambia wewe utajifanya ni waiter kwenye hotel tunamofanyia semina,na kila siku for the next two weeks utalipwa na serikali 200k!
Na hapo sijajua kama alinichakachua!
 
umesema yote watu kwa jk hawakugusa mishahara ni mwendo wa per diem na pesa za safari, Tender za serikali vya juu vilikuwa vya kutosha. kwa kweli mfumo aliouleta Rais umeshusha ile purchasing power kwa zaidi ya asilimia 50
Sasa per diem ni neema na siyo haki....mtu akikosa per diem(neema) asilalamike, ila akikosa mshahara alalamike nami nitamuunga mkono.
 
Back
Top Bottom