Ni hatari kufanya uchaguzi wa Rais katika kipindi hiki cha COVID 19

Dunia nzima inapita katika kipindi kigumu sana kisiasa, kiuchumi na kijamii. Shughuli zote za kijamii, kiuchumi na kisiasa zinafanyika kwa ugumu sana. Tumeshuhudia shule zikifungwa, ndege haziingii wala kutoka, utalii ukisimama mabisa, biashara zikidorola, hofu ya ugonjwa na matumaini ya maisha kiuchumi unatawala miongoni mwa Watanzania.

Wakati haya mabadiliko makubwa na hatari yanatokea sisi tunataka kubadilisha baba au kiongozi mkuu wa nchi hii ni hatari sana kwani uchaguzi pekee ni hatari hasa katika uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi. Kwa mfano kama tupo safarini katika basi na gari likianza kuyumba huwa tunajishikilia katika viti au machuma maalumu katika gari sasa itakuwa ujinga kwa watanzania wakati dunia inayumba sisi pia ndani tunajiyumbisha badala ya kujishikilia eti kwa sababu za kisiasa, naomba hekima sasa itumike.

Ninawaasa wanasiasa wenzangu na wadau wote tumuweke Mungu mbele hakuna wakati wa kuwa kitu kimoja kama kipindi hiki cha janga hili la Korona kwani tukivuka salama ni rahisi kurudi katika maisha ya kawaida. Napenda kukiomba chama tawala kubadili misimamo yakekuelekea uchaguzi mkuu 2020 kwani usalama wa taifa zima ni muhimu kuliko uchaguzi wa Raisi. Inamaana gani anachaguliwa Raisi mwingine anaingia madarakani wakati nchi iko ziii hakuna ndege inayoruka, hakuna biashara, hakuna utalii, shule zimefungwa, watu wamefungiwa ndani hii haina maana. na kama kunamtu anataka pia kugombea uraisi kipindi hiki basi huyo anauchu wa madaraka au maslai binafsi au ni maslahi kikundi cha watu wachache. Stabiliti ya nchi kisiasa ni muhimu sana kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba Chama Cha Mapinduzi, Chadema, CUF, ACT wazalendo, NCCR Mageuzi na vingine kunahaja ya kukaa pamoja na kuweka sawa jambo hili kwa manufaa mapana ya taifa letu, nashukuru nilipata kuonana na mmoja wa kiongozi wa chama alionyesha kukubaliana na hili naye aliniambia kwa masilai yake binafsi na chama chake halipendezi lakini kwa maslai mapana ya taifa linafaa.

Nimeamua kuwaandikia barua wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi, Chama Cha Democrasia na Maendeleo, Civil United Front, NCCR Mageuzi, ACT wazalendo hili mkubaliane na hekima itumike hasa katika kipindi hiki kigumu cha janga hili la corona duniani, wote kwa umoja wetu tukubaliane kwa maslai mapana ya taifa hili, na ndugu yetu Joni Pombe Magufuli aendelee ili atuvushe katika hiki kipindi cha hatari.

Nawasilisha
Daza Ndaga 0714 733 111
Uchaguzi mwezi October we hofu yako nn,maandalizi yaendelee Kama kawaida vipi Kama ugonjwa ukiisha kabla ya mwezi wa kumi je.Uchaguzi ni Jambo kubwa na muhimu katika nchi ni sawa na familia kupata mtoto mpya.Zipo njia nyingi hata kwa simu itatengenezwa App ya uchaguzi tutapiga.Huu ugonjwa ni mitihani ya Mwenyezi Mungu kutuonyesha sisi wanadamu si lolote si chochote hasa hao watu weupe kuwarudisha kwenye mstari wajue kwamba Mungu yupo thus kwenye machafu umepiga Sana kama wameacha asili na kufikia kuoana jinsia moja bila kuwapa adhabu watarudi vipi kwenye mstari.Bora mengine yahairishwe na sio uchaguzi.
 
Umepata wapi guts za kupingana kauli ya Mh.Rais wewe mleta mada? Huu ni uhaini na ukosefu wa nidhamu..Mh.Rais anasema uchaguzi upo pale pale eti anajitokeza mtu na kusema tusifanye uchaguzi.... Aiseee
Ibara ya 18 ndiyo pekee inayonipa hizo guts za kupingana na Mhs. Rais na ndiyo ninacho kiamini mimi kwa sasa.
 
Dunia nzima inapita katika kipindi kigumu sana kisiasa, kiuchumi na kijamii. Shughuli zote za kijamii, kiuchumi na kisiasa zinafanyika kwa ugumu sana. Tumeshuhudia shule zikifungwa, ndege haziingii wala kutoka, utalii ukisimama mabisa, biashara zikidorola, hofu ya ugonjwa na matumaini ya maisha kiuchumi unatawala miongoni mwa Watanzania.

Wakati haya mabadiliko makubwa na hatari yanatokea sisi tunataka kubadilisha baba au kiongozi mkuu wa nchi hii ni hatari sana kwani uchaguzi pekee ni hatari hasa katika uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi. Kwa mfano kama tupo safarini katika basi na gari likianza kuyumba huwa tunajishikilia katika viti au machuma maalumu katika gari sasa itakuwa ujinga kwa watanzania wakati dunia inayumba sisi pia ndani tunajiyumbisha badala ya kujishikilia eti kwa sababu za kisiasa, naomba hekima sasa itumike.

Ninawaasa wanasiasa wenzangu na wadau wote tumuweke Mungu mbele hakuna wakati wa kuwa kitu kimoja kama kipindi hiki cha janga hili la Korona kwani tukivuka salama ni rahisi kurudi katika maisha ya kawaida. Napenda kukiomba chama tawala kubadili misimamo yakekuelekea uchaguzi mkuu 2020 kwani usalama wa taifa zima ni muhimu kuliko uchaguzi wa Raisi. Inamaana gani anachaguliwa Raisi mwingine anaingia madarakani wakati nchi iko ziii hakuna ndege inayoruka, hakuna biashara, hakuna utalii, shule zimefungwa, watu wamefungiwa ndani hii haina maana. na kama kunamtu anataka pia kugombea uraisi kipindi hiki basi huyo anauchu wa madaraka au maslai binafsi au ni maslahi kikundi cha watu wachache. Stabiliti ya nchi kisiasa ni muhimu sana kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.

Naomba Chama Cha Mapinduzi, Chadema, CUF, ACT wazalendo, NCCR Mageuzi na vingine kunahaja ya kukaa pamoja na kuweka sawa jambo hili kwa manufaa mapana ya taifa letu, nashukuru nilipata kuonana na mmoja wa kiongozi wa chama alionyesha kukubaliana na hili naye aliniambia kwa masilai yake binafsi na chama chake halipendezi lakini kwa maslai mapana ya taifa linafaa.

Nimeamua kuwaandikia barua wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi, Chama Cha Democrasia na Maendeleo, Civil United Front, NCCR Mageuzi, ACT wazalendo hili mkubaliane na hekima itumike hasa katika kipindi hiki kigumu cha janga hili la corona duniani, wote kwa umoja wetu tukubaliane kwa maslai mapana ya taifa hili, na ndugu yetu Joni Pombe Magufuli aendelee ili atuvushe katika hiki kipindi cha hatari.

Nawasilisha
Daza Ndaga 0714 733 111
Mimi nimekuelewa sana, tutafanya wa wabunge na madiwani tu
 
Mimi nimekuelewa sana, tutafanya wa wabunge na madiwani tu
lakini kama tutafuata ushauri wa watu wa afya na makubaliano ya kikatiba kulidhiwa kutumia mitandao au wawakilishi wachache kupiga kura mfano uteuzi ndani ya vyama.
 
Dunia nzima chaguzi zimesimama kwa kupisha Corona usijali ni dunia si sisi

Uko sahihi, lakini rais asiwe Magufuli, bali nchi iongozwe na jaji Mkuu au Mkuu wa majeshi. Pia wakati huo tunataka rasimu ya Warioba ndiyo iwe katiba mpya maana ni maoni yetu wananchi. Kinyume na hapo uchaguzi uko palepale, tena uwe chini ya tume huru ya uchaguzi fullstop.
 
Umepata wapi guts za kupingana kauli ya Mh.Rais wewe mleta mada? Huu ni uhaini na ukosefu wa nidhamu..Mh.Rais anasema uchaguzi upo pale pale eti anajitokeza mtu na kusema tusifanye uchaguzi.... Aiseee
Tuliomuweka ni sisi na tukiamua abaki hadi hali iwe stable hakuna wa kitupinga sababu ana wajibu wa kulinda uhai wa wananchi wake
 
Umepata wapi guts za kupingana kauli ya Mh.Rais wewe mleta mada? Huu ni uhaini na ukosefu wa nidhamu..Mh.Rais anasema uchaguzi upo pale pale eti anajitokeza mtu na kusema tusifanye uchaguzi.... Aiseee


Huyo katumwa kutoka juu kuja kupima upepo kwa pua.
 
Nawasilisha
Daza Ndaga 0714 733 111
Uchaguzi upo pale pale
Tutapiga kampeni kwa tv live kila chama kitapewa aitime sawa TBC,tutapiga kura foleni mtu na mtu umbali mita moja
Harakati zenu za kuwaweka watu majumbani zimefeli,mnaomba uchaguzi uahirishwe?
Mmegundua kwamba hali ikiwa shwari yu watu hawaji,sembuse sasa kuna corona?
Andaeni wafuasi wenu,uchaguzi upo pale pale
 
Back
Top Bottom