kelvin complex
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 605
- 580
Ngoma hiyo ndo ikaja kutolewa version ya pili ikiitwa Piga manati, ingawa KOMAA NAO pia jamaa waliuaWamejichanganya -Gk na ECT wanawadiss AY & FA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma hiyo ndo ikaja kutolewa version ya pili ikiitwa Piga manati, ingawa KOMAA NAO pia jamaa waliuaWamejichanganya -Gk na ECT wanawadiss AY & FA
sure....komaa nao ni kali sana nayoNgoma hiyo ndo ikaja kutolewa version ya pili ikiitwa Piga manati, ingawa KOMAA NAO pia jamaa waliua
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuu hii ngoma ya nani mzee baba,yaitwajeBANDO~ TIKITAKA ROSTAM
yaan KUMAnisha we braza ni boya../
halaf maji mara moja kama maharage ya soya...
ama gemu limekushinda unatafuta kiki.../
sa si ni bora uongeze makalio u dange na gigy..
wee mjinga mpaka noma fata yako.../
kumbe hujui kusoma halaf mwalim mKUU MAma yako...!
leo hakuna jinsi wala kadeti.../
na c unajua dawa ya msitu ni gilet..
na kwakua dawa ya tanasha ni chibu...
basi dawa yako me ntakutibu taraaaaatibu....
dis to stereo
kaisikilize kwanza!
Wimbo unaitwaje? Uweke hapojamaa anaitwa BANDO
Kafanya vizuri kutokuijibu.Nikki mbishi kashindwa kuijibu futi 6. Aisee ajitahidi apige chafya otherwise tutamfukia mazima
Umesema sio mshabiki wa wote! Waswahili mnajuana kwa vilembaKafanya vizuri kutokuijibu.
Mimi sio mshabiki wa wote kati yao na wote nimewasikiliza tangu mda tu.P anachora sana,anajua kuelezea kitu inform ya story line ila hakuwahi kupata airtime hapo nyuma mpaka ikafika kipindi mwanae Zaiid akahit kuliko yeye na akawa kama dancer wake kwenye majukwaa.
Ukiangalia track ya Mawenge inapigwa sana na kapata kujulikana sababu hiyo,hapo kabla hakua na umaarufu huu wakuitwa kwenye interviews,airtime ya kutosha hivi.
Kigame amemkuta Nikki mbishi,Mbishi ni star kuliko yeye.Mawenge hajulikani,hana lakuongelewa kwahiyo Mbishi akimjibu track yake haitopata airtime yakutosha na waty hawatoielewa sana sababu anamchana mtu ambae watu hawamjui tofauti nayeye anajulikana kwa diss track zake za nyuma,kuzinguana na kila mtu na tabia zingine ambazo P kamchana.
Pia atamchana nini,ana ngoma yake ya mwaka 2018 'maneno ya mashabiki' ambayo ameelezea mambo mengi tu kuhusu yeye na mashabiki kitu ambacho ni kama alijichana yeye mwenyewe hapo kabla.
Angalia pia impact aliyopata Mbishi,interviews zakutosha pia,anazungumziwa.
Katoa punch kadhaa hivi kama track na wanene ila imekua kali hadi kapata support na wasanii wenzake wakubwa tu tena hata ambao alikua ana beef nao!
Kafanya vizuri kutokuijibu.
Mimi sio mshabiki wa wote kati yao na wote nimewasikiliza tangu mda tu.P anachora sana,anajua kuelezea kitu inform ya story line ila hakuwahi kupata airtime hapo nyuma mpaka ikafika kipindi mwanae Zaiid akahit kuliko yeye na akawa kama dancer wake kwenye majukwaa.
Ukiangalia track ya Mawenge inapigwa sana na kapata kujulikana sababu hiyo,hapo kabla hakua na umaarufu huu wakuitwa kwenye interviews,airtime ya kutosha hivi.
Kigame amemkuta Nikki mbishi,Mbishi ni star kuliko yeye.Mawenge hajulikani,hana lakuongelewa kwahiyo Mbishi akimjibu track yake haitopata airtime yakutosha na waty hawatoielewa sana sababu anamchana mtu ambae watu hawamjui tofauti nayeye anajulikana kwa diss track zake za nyuma,kuzinguana na kila mtu na tabia zingine ambazo P kamchana.
Pia atamchana nini,ana ngoma yake ya mwaka 2018 'maneno ya mashabiki' ambayo ameelezea mambo mengi tu kuhusu yeye na mashabiki kitu ambacho ni kama alijichana yeye mwenyewe hapo kabla.
Angalia pia impact aliyopata Mbishi,interviews zakutosha pia,anazungumziwa.
Katoa punch kadhaa hivi kama track na wanene ila imekua kali hadi kapata support na wasanii wenzake wakubwa tu tena hata ambao alikua ana beef nao!