Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Wanaona ilani ya CcM inatekelezwa vyema na wao wanafurahia na kuuchuna kimoyomoyo maana maendeleo yanapatikana.
Hakuna mgao wa umeme, miradi ya maji inazinduliwa kila kona, madarasa yamejengwa na wanafunzi wameenda shule. Barabara zinajengwa miundo mbinu inaimarishwa kila kona.
Hatusikii wapinzani kulalama kero zozote toka wa wananchi hii ni dalili kuwa Mama Samia anapiga kazi nzuri kwa kutekeleza ilani ya CCM.
Hakuna mgao wa umeme, miradi ya maji inazinduliwa kila kona, madarasa yamejengwa na wanafunzi wameenda shule. Barabara zinajengwa miundo mbinu inaimarishwa kila kona.
Hatusikii wapinzani kulalama kero zozote toka wa wananchi hii ni dalili kuwa Mama Samia anapiga kazi nzuri kwa kutekeleza ilani ya CCM.