Unstate Bug
Member
- Aug 16, 2015
- 79
- 85
Biashara ya redio na TV 📺, sijui faida yake wanapatia wapi Mkuu
aah kweli mkuu maisha ukiyapatia unainjoySpare 1 uliyonunua kwa 50k unaweza kuiuza hadi 100k huwa wanauza bei mara mbili ya bei waliyonunulia atakaekuuzia bei rahisi atakupiga 80k
Ukituma buku LA mteja,Wewe unapata faida sh ngapi?Hesabu kamili zipo
Ngoja tum-Tag hapa aje Maxence MeloJAMIIFORUMS
-Mnalipa kodi
-Mnalipa pango,maji,umeme
-Mnanunua mitambo
-Mnalipa mishahara na viinua migongo.
-Mnanunua vifaa,mnafanya marekebisho
-Hamfanyi matangazo
-Mnalipia gharama za kesi mahakamani
-Mnalipia server,vibali.
Mr. Melo, mnatengenezaje faida.
Hawa nao JFs pia siwaelewi.JAMIIFORUMS
-Mnalipa kodi
-Mnalipa pango,maji,umeme
-Mnanunua mitambo
-Mnalipa mishahara na viinua migongo.
-Mnanunua vifaa,mnafanya marekebisho
-Hamfanyi matangazo
-Mnalipia gharama za kesi mahakamani
-Mnalipia server,vibali.
Mr. Melo, mnatengenezaje faida.
Nikisikia Comision za Miamala nashangaa sana zile kazi wanaozifanya.Japo mwenyewe nafanya biashara ya uwakala lakini sioni faida najiuliza wenzangu wanapataje faida 😀😀😀 vicommission vidogo dogo sijui sh 20, 30... kodi ya frame 150,000/= × 6 unategemea itarudi vipi?
Inategemeana ,ukinunua kuanzia dozen 10 hizi chupi za kawaida ni chini ya 9000.Kama kuna mzunguko mbona faida ipo Tu.Duka la vyupi, duka la jumla ye ananunua elf 9 anauza elf 10...means faida buku.
Kodi laki na nusu kwa mwezi, muuzaji mshahara laki na nusu bado kula nauli.
Boss uzi umekuleta😂😂Anatakiwa kupata FAIDA? 😳
Faida sh 100 na kwa siku anauza vocha 10 tuVocha baba vocha
Bagamoyo road uchumi umeanza kushuka awamu ya tano.Hiyo ni miaka ya kuanzia 2015 ndiyo majengo yakawa matupu but maghorofa bado yanajengwa barabara hizo hizo
😎Madereva TAKS hapa Town poster mpaka feri , hivi muna pata faida Gani, maana muda mwingi huwa muna piga story, alafu wengi wenu ni wazee ukiuliza alikuwa mjeda amesfaafu,
AU ni wazee wa kitengo 😂
Hapo hujakutana na Kaka tapeli 😂😂😂.Japo mwenyewe nafanya biashara ya uwakala lakini sioni faida najiuliza wenzangu wanapataje faida 😀😀😀 vicommission vidogo dogo sijui sh 20, 30... kodi ya frame 150,000/= × 6 unategemea itarudi vipi?
Hawa usiwahesabu kabisa, ni watu wana pesa kiasi ya kwamba akiwa na akili ya kujiongeza huwa wanasogea mbali mno. Hapa nawaongelea wanaomiliki hivyo vidau, ila kwa wavuvi wenyewe huwa ni kusukuma maisha tuWavuvi wa samaki yaani kuanzia Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara ... maisha yao yapo ka hayapoo
Hawasii / hawapandi / hawafugii ... wao ni kuvuna tu
Evelyn buku mbona kubwa sana, kuna watu wanafanya biashara faida kwa bidhaa sh. 200. Na mambo yanaenda tu.Duka la vyupi, duka la jumla ye ananunua elf 9 anauza elf 10...means faida buku.
Kodi laki na nusu kwa mwezi, muuzaji mshahara laki na nusu bado kula nauli. 🤔