Makampuni yanayochapisha pesa/hela...MINT.Funguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.
Ghorofa la kawaida wanapangisha kwa square meter 1 USD 9. Hayo ni ya Sinza Kijiweni kwingine ni USD 14 mpaka 20Ujenzi wa maghorofa makubwa ya biashara na ofisi,wanapataje faida...?
-Ujenzi una gharimu mabilioni.
-uendshaji wa Majengo unahitaji mamilioni
-Kodi zao zipo juu
-Majengo mengi hata nusu ya floor zote zipo wazi.
Wanachapisha za nchi gani?Makampuni yanayochapisha pesa/hela...MINT.
Mana si wangejichapishia fedha wao wenyewe tu.,mana wana miundombinu yote.
Majengo ni mengi kuliko Idadi ya makampuni na watu binafsi wenye uwezo wa kulipia hizo square metres...Ghorofa la kawaida wanapangisha kwa square meter 1 USD 9. Hayo ni ya Sinza Kijiweni kwingine ni USD 14 mpaka 20
Ofisi inahitaji angalau SQM 150 na ofisi inayojielewa kupanga Sinza Kijiweni sidhani.
Kampuni ya usafi na ulinzi wanaoutsource. So tenda atagewa Castr entreprise na Castr Security.
Walinzi wa jengo wanaolipwa na jengo utakuta ni wawili tu. Ambapo kampuni iliyogewa tender inaambiwa iripoti kwa hao wawili.
Hao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.Wauza papuchi,. Mbona hawatajiriki wakati hawahitaji mtaji wao ni kuuza tu?
Za nchi nyingi za Africa ambazo zilikuwa chini ya Uingereza, zinachapishwa Uingereza na kampuni ya DE LA RUEWanachapisha za nchi gani?
Malaya wa TEMEKE wanashida Sana 😂Hao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.
Hizo si pesa za mwizi,madawa na Ufisadi zinaingiziwa kwenye biashara halali kuzugia tu....Utakatishaj pesa