kirisha
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 573
- 663
Napenda
Kumshukuru Mungu naye muamini kwa kunipa zawadi ya uhai na afya tele Mimi ni ndugu yenu hapa jukwaani
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikipambana kutafuta mwanga na kutimiza ndoto zangu
Mapema mwaka huu kwenye mwezi wa tatu ndio nilipoona mwanga baada ya kupata biashara ambayo kwa siku tu inanipa faida 150000 nakuendelea
Nashukuru sana nimeweza kulipa madeni nimewa kuishi vizuri paka sasa
Kitu kilichonifanya niandike huu Uzi nataka kuomba ushauri kwenu kwa kipindi hiki nachofanya hii biashara nakupata hii faida
Mambo gani nizingatie sana ili niweze kwenda mbele zaidi niwekeze wapi zaidi kwenye vitu gani vitavyonipa faida kwa haraka
Niwe na nidhamu kwenye vitu gani ili biashara yangu iwe na msingi imara
Ni ayo tu biashara yangu nauza viatu kwa Bei jumla
Kumshukuru Mungu naye muamini kwa kunipa zawadi ya uhai na afya tele Mimi ni ndugu yenu hapa jukwaani
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikipambana kutafuta mwanga na kutimiza ndoto zangu
Mapema mwaka huu kwenye mwezi wa tatu ndio nilipoona mwanga baada ya kupata biashara ambayo kwa siku tu inanipa faida 150000 nakuendelea
Nashukuru sana nimeweza kulipa madeni nimewa kuishi vizuri paka sasa
Kitu kilichonifanya niandike huu Uzi nataka kuomba ushauri kwenu kwa kipindi hiki nachofanya hii biashara nakupata hii faida
Mambo gani nizingatie sana ili niweze kwenda mbele zaidi niwekeze wapi zaidi kwenye vitu gani vitavyonipa faida kwa haraka
Niwe na nidhamu kwenye vitu gani ili biashara yangu iwe na msingi imara
Ni ayo tu biashara yangu nauza viatu kwa Bei jumla