Ni ajabu,lakini ni kweli pia

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
Haya ni matukio/mambo katika picha ambayo sio rahisi kuamini
kama yametokea/yapo lakini yapo kweli.

189729_152716534789983_100001549126150_314744_2055385_n.jpg

Huyu jamaaa ni maarufu kwa kucheza na nyoka,hicho ndicho kipaji chake na kina mpa kipato

197771_152286418166328_100001549126150_311834_1294714_n.jpg

Hizi sio ndizi bukoba wala moshi,....zipo Tarime,...karibu ujionee

183913_147222655339371_100001549126150_277248_5784963_n.jpg

Katika hii ajali inasemekana dereva alitoka akiwa mzima kabisa,....
chaguo ni lako,amini au usiamini ila ndivyo ilivyokua

Ongeza mengine.............
 
Huyu inasemekana alikua na uzito wa kilo 170kg,....lakini hapo alipo ana 12kg.
Inasemekana ni kiharusi,........sijui sana kuhusu ugonjwa huo.
155841_125637750831195_100001549126150_153520_3709396_n.jpg
 
Back
Top Bottom