Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,763
- 284,783
Unataka vijana washabikie chama gani?
Hapa uko kushoto au kulia ?
Unataka vijana washabikie chama gani?
Unataka vijana washabikie chama gani?
Kama vijana wa chadema ndiyo kama huyu kamanda hakuna kijana mwenye akili timamu anaweza kwenda chadema.
kinachookuuma wewe ni kuona ccm imesheheni wanachama wa kila lika.jenga chama chako acha kuchanganyikiwanimewadharau sana vijana wanaoshabikia ccm , wanatia aibu .
Leo unaweza mpka kuingia mitandaoni kueleza unayoyaeleza nchi ikiongozwa na hao hao CCM.
Bado unalalamika kijana?
Ulitaka uletewe kila kitu kama mgonjwa? au ni mgonjwa kweli?
Au ni mazungumzo baada ya habari?
Hapana, si kuandika ili tubishane kwa hoja ambazo hazina mashiko, Hoja yangu ni kuwa ni Aibu kuona Vijana wanaishabikia CCM, Full stop, Ni kweli ni Aibu. Nimemaliza
Unataka vijana washabikie chama gani?
ACT Kigoma
Teh Teh Teh!
Umemaliza kila kitu mkuu.
Leo kwenye tawi letu la CCM hapa Dar Es Salaam, vijana wengi sana wamejitokeza kuchukua vitambulisho vya UVCCM.
Vijana wanataka maendeleo, hawataki fujo na maandamano.
kinachookuuma wewe ni kuona ccm imesheheni wanachama wa kila lika.jenga chama chako acha kuchanganyikiwa
Labda anataka Gongo ihalalishwe.
Dr. Slaa alishagundua vijana wameshapatiwa kila kitu na CCM lakini bado hawaridhiki, akahisi wanahitaji kuhalalishiwa Gongo.
Ni aibu sana mtu unapewa Viroba na Mikate ili ukaandamane na kuishabikia chadema.
Hii unasema wewe na kujiaminisha mwenyewe sio mbaya mkuu. Next time unaposema neno aibu jaribu kulipa justification zaidi na sio kumalizia kusema aibu tu as if ndio umeagizwa useme hivo, mfano ni aibu kutembea uchi kwa mtu mwenye akili timamu..hapa kila mtu ataelewa kwanini aibu.
Ni aibu kwa kijana kuwa msukule wa mbowe...kuburuzwa na kuaminishwa kila kitu bila kuhoji..!
Duh naona uzi wangu umekuna ajira zenu, mkaamua mtafutane mje hapa, karibuni Sana, nyie wote nawamudu, ndio nimeshamaliza kuongea kuwa NI UJINGA NA AIBU KWA VIJANA KUISHABIKIA CCM:-/ KAMA unaona nimekukera jinyongeVijana wanao shabikia chadema wanabidi wapimwe akili
Erythrocyte chunga maneno yako tutakuroga wewe!Umeandika kwa uchungu sana ! Hii ni ishara ya kuguswa na matatizo ya nayowakabili vijana wa nchi hii , ni hivi , hao hawakuwa vijana tu bali walikuwa vijana marafiki , ndugu , watoto ama jamaa wa viongozi , walikuwa ni WATENDA DHAMBI WA KAWAIDA TU ,WACHUMIA TUMBO NA WAKUFURU MUNGU TU , MAANA IMEANDIKWA KWAMBA USISHABIKIE MAOVU .
Hahahahaaa nadhani Professor Maji Marefu anahusika hapa. Au pengine Mwenyekiti wao Mzee Kingunge