Pazi na Jogoo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 331
- 494
Pole sana mkuu, lkn kuna special thread ya Wizara ya afya humu, pale ni rahisi sana kufuatilia!
Pole sana mkuu, lkn kuna special thread ya Wizara ya afya humu, pale ni rahisi sana kufuatilia!
Mto wetu unakaukaHabari wakuu,
Leo nimeamua kuwachana live maana mmezidi hii ni mara ya pili Mama angu amepewa dawa zilizoisha mda wake shame on you tena wauaji wakubwa.
Mama 'angu amekua akisumbuliwa na kisukari so hua anachukulia dawa katka Hospital ya ILEMBULA kwa hili hapana hao watu wanaoiba dawa kwa kuwapatia dawa wagonjwa zilizoisha muda wakesi.
Wito wangu kwa mamlaka husika wakafanye uchunguzi hasa kwa watu wanao tumia BIMA huku ndo wanakonyongea watu sanaa.
Huyu anaetoa dawa zilizoisha mda anauza dawa.
Mnajiharibia sanaa CV yenu.
Acheni uuaji huu Mungu anawaona pia kumbukeni malipo hapahapa utakufa hata kabla ya kumuua mgonjwa wa kisukari.
Mto wetu unakauka
River/Liver si drying
Hepatitis B
Hepatitis B is a viral infection that attacks the liver and can cause both acute and chronic disease.www.who.int
Sijui mto wa kulalia
View attachment 1751491
Sitaki kupitwa