Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,141
Hello,
Uzi huu haujabeba chuki au nia mbaya. Nimeweka huu uzi Ili ikiwezekana serikali irekebishe baadhi ya mambo. Watanzania wengi hawajui mambo ya kitaifa sasa.
Mimi katika peruziperuzi mchana huu ndio najua kuwa leo ni Independence day. Sikukuu kubwa ya kitaifa kuliko sikukuu zote.
Nimefanya kautafiti kafupi kuwahoji watu kadhaa inaonyesha Watanzania hawajui nini kinaendelea leo. Wengi wanashangaa habari za sikukuu kuzikuta kwenye TV na mitandao ya simu leo.
Kwakuwa wengi walikuwa wakipata habari hizi kutoka kwa watoto wao ambao walikuwa hawaendi shule kama sikukuu imeangukia siku ya shule unfortunately shule zimefungwa na leo ni Jumamosi hata Wadanyakazi hatujui nini kinaendelea leo.
Miaka 20 mbele kuna uwezekano mpaka viongozi watasahau kufanya maandalizi ya sikukuu hii ya uhuru. Sad!
Uzi huu haujabeba chuki au nia mbaya. Nimeweka huu uzi Ili ikiwezekana serikali irekebishe baadhi ya mambo. Watanzania wengi hawajui mambo ya kitaifa sasa.
Mimi katika peruziperuzi mchana huu ndio najua kuwa leo ni Independence day. Sikukuu kubwa ya kitaifa kuliko sikukuu zote.
Nimefanya kautafiti kafupi kuwahoji watu kadhaa inaonyesha Watanzania hawajui nini kinaendelea leo. Wengi wanashangaa habari za sikukuu kuzikuta kwenye TV na mitandao ya simu leo.
Kwakuwa wengi walikuwa wakipata habari hizi kutoka kwa watoto wao ambao walikuwa hawaendi shule kama sikukuu imeangukia siku ya shule unfortunately shule zimefungwa na leo ni Jumamosi hata Wadanyakazi hatujui nini kinaendelea leo.
Miaka 20 mbele kuna uwezekano mpaka viongozi watasahau kufanya maandalizi ya sikukuu hii ya uhuru. Sad!