BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Atakuwa mwanga huyo.. Ubomba wake ni upii?
Gharama kubwa sana hiyo kwa mlala hoi.
Atakuwa mwanga huyo.. Ubomba wake ni upii?
Ni kweli gharama ni kubwa lakini kwenye swala la afya wanaangalia na wenyewe gharama zitokanazo na hudumaAtakuwa mwanga huyo.
Gharama kubwa sana hiyo kwa mlala hoi.
Wanasema miwani ni moja kati ya urembo.Kama unaweza pata miwani ya 30k.Lakini kwa kuwa unataka yenye madoido ziko frem za 500k.Unataka bima i cover hio pia?ThinkNilihitaji huduma ya miwani nikaambiwa NHIF hawalipii gharama za miwani zaidi ya Tsh 20,000 wakati gharama halisi ya miwani ya kusomea ni Tsh 250,000! Nakuambia huduma za NHIF ni za kitutusa sijapata kuona.
Angalia mimi nilichangia muda gani na hiyo attachment, imewekwa muda gani?!! Ndio utajua kuwa wakati bandiko linawekwa hslikuwa na hivyo viambatanisho.Mkuu bei si zimetajwa kwenye jedwali aliloliambatisha mtoa mada? Tuseme haujaiona au haujaielewa?
Inawezekana lakini nadhani ni mapema mno kuwasifia hawa na Wizara husika. Kwa kutazama haraka haraka, utaona namna wazee (60+) walivyo pigwa na wakati huo huo wanaimba kila siku kuwa wazee wanastahili huruma za Taifa lakini leo vifurushi vya hawa wazee ndio ghali sana! Halafu, hizi huduma sijui za MRI, CT Scan na nyingine eti statolewa baada ya MWAKA MMOJA wa kujiunga!? Yaani ukijiunga 01/12/2019, utapata huduma hizo 01/12/2020 au nimesoma vibaya!? Hii maana yake nini ninyi watu wa NHIF na Wizara husika? Hebu lidadavueni hili, wacheni maneno na mbwembwe za majukwaani.Ubunifu mzuri sana, utasaidia watu wengi sana. Angalizo uwe wa gharama nafuu, wasiwe na lengo na kupata fedha kwaajili ya gawiwo serikalini.
Kifurushi cha chini Ni elfu arobaini hata kea wale walokuwa wanakatwa elfu 23 kwenye miNHIF wana huduma za kipumbavu kuliko bima yoyote hapa Ulimwenguni. Wakati watu wanaolazimishwa kujiunga NHIF wakitamani kujitoa, nitawashangaa sana wananchi watakaojiunga na huduma hizi za kijinga za NHIF.
Kwa wale watanyakazi kima cha chini kuchangia kwa mwezi itakuwa ni elfu 40 tofauti na zamani ambapo wengne walkuwa wanakatwa 23 elfuKama kodi tunalipa tunataka huduma ya afya iwe bure kama elimu siyo kuambiana vifurushi alafu mnaweka package za laki moja nini sasa hivi mkulima wa bamia uko anaweza kutoa hizi million ebu tuache kutaniana
Kumbe imekiwa hivyo maana yake mfanyakazi kwa mwaka atalipa 480 na serikali inamlipia 480Kifurushi cha chini Ni elfu arobaini hata kea wale walokuwa wanakatwa elfu 23 kwenye mi
Kwa wale watanyakazi kima cha chini kuchangia kwa mwezi itakuwa ni elfu 40 tofauti na zamani ambapo wengne walkuwa wanakatwa 23 elfu
Kwa watumishi wa umma unabaki vilevile?Mkuu utaratibu huo bado upo kwa dar es salaam familia ya watu 6 inategemewa watalipa laki 1 na kwa mtu mmoja mmoja ni elfu 40 kwa mwaka kwa mikoani elfu 30 kwa mwaka mzima kwa huduma za kituo cha afya,hospitali za mikoa na wilaya
Wafanyakazi wakikubali watakuwa wehuKifurushi cha chini Ni elfu arobaini hata kea wale walokuwa wanakatwa elfu 23 kwenye mi
Kwa wale watanyakazi kima cha chini kuchangia kwa mwezi itakuwa ni elfu 40 tofauti na zamani ambapo wengne walkuwa wanakatwa 23 elfu
Subiri utajionea,pesa hakuna ndg hizo Ni mbinu na njia ya kunyang'anya watu pesa kwa nguvu ili mipango yao isikwame wakaaibikaWafanyakazi wakikubali watakuwa wehu
Kujiunga nhif ni kutupa hela zako chooni kwa hiari kabisa
Sijasema mtu asiwe na bimaSiku ukiugua utaanza sumbua watu
Siku zote tunaambiwa wazee wa miaka sitini na kuendelea watatibiwa bure. Nionavyo mimi hakuna kitu kama hicho na sasa watatakiwa ama kukata bima ya afya au kusubiri kifo taratibu. Sera ya Wazee ni hadithi ya kufikirika na hutumiwa kisiasa zaidi kuliko ukweli ulivyo.Wewe subiria kwenye bei za hivyo vifurushi, ndio utajua neno mnyonge hutumika kisiasa tu, hawana huruma naye!!
Cheki hiyoKifurushi cha chini Ni elfu arobaini hata kea wale walokuwa wanakatwa elfu 23 kwenye mi
Kwa wale watanyakazi kima cha chini kuchangia kwa mwezi itakuwa ni elfu 40 tofauti na zamani ambapo wengne walkuwa wanakatwa 23 elfu