NHIF kuzindua vifurushi vipya vya bima ya afya, sasa kila Mtanzania kuzingatiwa

Napenda kuwapongeza sana kwa kuleta vifurushi mbalimbali ambaza kwa ukweli italeta tija kwenye ujenzi wa taifa.

Ila nilikuwa na jambo moja ya kushauri shida kwenye kifurushi cha awali haikuwa sana kwenye fedha ila ilikuwa ni jinsi ya kulipa ni kwamba wafanyakazi wanachangia kila mwezi, ila watu binafsi bado mnataka kulipwa hela yote kwa pamoja.

Ninashauri kwa jinsi teknolojia ilipofika ambayo mnayo kwenye mfumo wenu ruhusuni watu binafsi nao wachangie mwezi kwa mwezi ila mwezi wa kwanza wanaweza kuchangia miezi miwili.

Hii itasaidia watu kuchukua kifurushi ambacho kitakuwa ni kikubwa na inaleta uhalisia kwenye jamii yetu. Kuliko hii ya kutaka mtu kulipia hela yote kwa mkupuo yaani mwaka kifurushi chake.
 
Naunga mkono hoja mfano kwenye kile kifurushi cha najali kwa upande wa mke,mume na watoto wa3 au wa4 ni lak7 na cha watoto wa4 laki 8.Ukitazama hyo pesa ni kubwa kwa watu binafsi hvyo kama wangeruhusu watu walipe kila mwezi nadhani wangepata wateja zaidi.
 
Vifurushi
tapatalk_1574878261974.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika yaani kwa hicho cha laki nane ni Tshs 66,000 sasa unaweka mtu akijiunga analipa Tshs 132,000/ a halafu anaendelea na hiyo 66,000/ Hii inakuwa ni business acumen na cha mamilioni inakuwa kwenye laki kadhaa kwa mwezi na kile cha 192,000/ inakuwa kwenye 16,000/ kwa mwezi

Naunga mkono hoja mfano kwenye kile kifurushi cha najali kwa upande wa mke,mume na watoto wa3 au wa4 ni lak7 na cha watoto wa4 laki 8.Ukitazama hyo pesa ni kubwa kwa watu binafsi hvyo kama wangeruhusu watu walipe kila mwezi nadhani wangepata wateja zaidi.
 
Hizi habari za kuunganisha UZI kwa kuwa zimesema neno fulani naona nayo sio sawa uzi niouanzisha nia jambo ambalo linahitaji macho na masikio ya shirika ukiunganisha inakuwa mtu aliyesoma kabla ya hayo anakuwa hano morali tena ya kuchangia. Mod tafadhali naomba uzi huo wakuomba kulipa kwa installment NHIF usimame wenyewe
 
Back
Top Bottom