NHC yambwaga Mbowe Mahakamani

NHC yambwaga Mbowe Mahakamani

Ametaja source reliable, unalako jambo
Hiyo source ameitaja baada ya sisi wadau kumsihi aijazie maelezo,kwa lugha nyingine naweza kusema alikurupuka/habari ilikuwa ya mwendokasi
 
Huwezi kuiacha mahakama idhalilike kwa mtu kutumika na watawala kupindisha sheria.

Marejeo ya Kesi au Rufaa yataumbua wengi
 
Saafi sana, na akome. Lazima alipe kodi mkwepa kodi mkubwa huyu. Nasikia kaanza kukusanya hela toka kwa wananchi akiwadanganya eti ujenzi wa ofisi kumbe anataka kulipa kodi, hahah
ngoja tuona hii drama kama analipa au anakata rufaa..teh teh. siku hizi haki imeanza kutolewa kwa wenyewe.
 
Makamanda tuipongeze mahakama kwa kutenda haki.
Lakini tusisahau Mbowe anatakiwa kujitokeza kueleza kuhusu elimu yake...
MASUALA YA KISHERIA NA ELIMU YA MBOWE VINA UHUSIANO GANI WE UNADHANI KWA AKILI YAKO ILIVYO NDOGO KAMA UNYWELE WA WASSIRA MBOWE ALISIMAMA KAMA YEYE MAHAKAMANI HAO MAWAKILI WALIOSIMAMIA INSHU YA MBOWE WANA AKILI NA UFAHAMU ZAIDI YAKO MARA MILION,akili za kushikiwa ndo matatizo yake,huwezi fikiri au kutoa ushauri hadi umuulize girl friend wako,hii ndio TZ na hawa ndo wasomi wetu
 
Jaji anaajiriwa na rais makamanda tukubali haki imetendeka kisheria mbowe alipe kodi mtashinda kwenye kesi za kumsema mtukukufu tu.
 
Shindaneni na Mbowe na kuacha mabo ya Msingi kuwaletea mabadiliko Watz.Pesa tunafahamu kuwa haki Tz. ni ngumu kutokana na mfumo na muundo wa vyombo vingi vya dola hivyo hakuna cha ajbu hapa kwani ni vigumu mtu au chombo kufanya tofauti na Mkuu wake alichomuagiza.
Hata kushinda kwa baadhi ya kesi za wapinzani awamu hii ni zuga ya kutengeneza usawa hewa.
Tunaona nguvu kubwa inayotumika kuzima au kuua upinzani mfano hai ni leo Arusha RC kumzuia Lema kuweka jiwe la Msingi ktk ujenzi wa Hospitali ya Mama na Watoto kwa kutoa sababu uchwara na goigoi.
Kwa wenye akili kubwa na tuliojaliwa kwa hakika na Allah tunajua kutambua na kuchambua giza na nuru ni ipi japo nguvu kubwa hutumika kuwazima pia waliopata mwanga.
 
Mwanzo mahakama ilikataa kutoitambua kisheria kampuni iliyohusika na utoaji wa vitu ndani hapo akili kichwani leo wanasema haina mashiko hahahahaha africa bana matumbo yetu yanatuendesha balaa wakina jaji mutungi.
 
770a9b38829252c84c3ad00100b14196.jpg
 
Back
Top Bottom