Majuzi tu hapa TANESCO wamefunguliwa kesi ya madai na SYMBION or some other electric company kisa kutaka kuvunja contractual agreement ambayo bado aijaanza. Mtu amekaa kwenye jengo kwa miaka zaidi ya ishirini kwa maandishi utasemaje mkataba auhusiki, hawa ndio majaji wanaofunga wezi wa kuku 20 years.
Politics is politics and law is law, sheria lazima itende haki; pengine kweli mkataba wa Mbowe ulikuwa wakinyonyaji na aukuwa na maslahi kwa NHC lakini ni mkataba. The only way watanzania tunaweza kuwa makini ni kupitia changamoto zilizopo umefanya makosa, pambana kurekebisha either unashinda au unashindwa kisheria (au kwa njia zingine ambazo sahihi procedural wise) mwisho wa siku kama ni serikari makini inatoka imejifunza kitu (kufanya kosa sio kosa kurudia kosa ndio kosa).
Lakini haya mambo ya kupenda vitu rahisi rahisi kamwe ayawezi kubadili fikra za serikari na jinsi inavyofanya mambo; kuanzia namna wanavyopata wataalamu wao mpaka, maamuzi yanayochukuliwa na utendaji mmbovu uliokithiri. Provided there are signatories of the two parties in contract document that is an acceptance and pretty much a legal contract hakuna ata aja ya kutafuta principles zingine kujua uhalali wa mkataba na ikifikia hapo kuvunja mkataba kuna taratibu zake either zipo kwenye maandishi au kupitia mahakama.
Kama kushinda washinde au wavunje mkataba kwa njia sahihi lakini sio haya maamuzi ambayo ayana kichwa wala miguu isitoshe inawafanya watumishi wa serikari kutokuwa wabunifu kwa sababu ya easy rides.