farasi6453
Member
- Sep 26, 2022
- 85
- 71
Kuna tetesi kwamba NHC Shirika La Nyumba wameanza kuwapa notisi ya kuhama majumba na fremu ya biashara jijini Dar Es Salaam kupisha nyumba hizi kubomolewa na kujengwa upya.
Kwa yeyote mwenye taarifa sahihi atujuze. Website ya NHC haina taarifa zozote.
Kwa yeyote mwenye taarifa sahihi atujuze. Website ya NHC haina taarifa zozote.