Tetesi: NHC Shirika la Nyumba lasitisha Mikataba

Jambo zuri sana hawa wahindi wamezifanya kama zao,yan akihama anauza 20 mil anamueka muhindi mwenzake me nashangaa hela wanapata wanashindwa hata kukarabati duh,nyumba zimejaa uchiriz wa kijani rangi zimebanduka wakati wanalipa kodi ndogo waje huku mwisho wa dunia na wao waishi sio posta,upanga tu
 
Jambo zuri sana hawa wahindi wamezifanya kama zao,yan akihama anauza 20 mil anamueka muhindi mwenzake me nashangaa hela wanapata wanashindwa hata kukarabati duh,nyumba zimejaa uchiriz wa kijani rangi zimebanduka wakati wanalipa kodi ndogo waje huku mwisho wa dunia na wao waishi sio posta,upanga tu
Utakarabati nyumba si yako?
 
Jambo zuri sana hawa wahindi wamezifanya kama zao,yan akihama anauza 20 mil anamueka muhindi mwenzake me nashangaa hela wanapata wanashindwa hata kukarabati duh,nyumba zimejaa uchiriz wa kijani rangi zimebanduka wakati wanalipa kodi ndogo waje huku mwisho wa dunia na wao waishi sio posta,upanga tu
Sidhani kama wanalegwa hao wahindi au ukarabati... hii ni ajenda inayohusu economics zone ya wachina pale ubungo ili kariakoo ife.
 
Okoa babdari zetu, shiriki kwenye petition hii ya kupinga serikali kuuza bandari zetu.
Hoja mufilisi imeshakufa kibudu!!
Kinachotakiwa sio kubishana na MAAMUZI bali kuandaa katiba mpya itakayowawajibisha viongozi!!

Petition isaidie NINI!!?
 
Wakarabati kwanza na kuhakikisha waliyonayo yanafanya kazi katika ufanisi unaotakiwa.
Nhc Samora soko la madini ni Jengo la kibiashara lakini chooni tu unatakiwa kwenda na funguo vyoo vinafungwa et hakuna wa wafanya usafi wa kutosha.

Mbu kila mahali tena wana nguvu kama Ng'e.
 
Back
Top Bottom