The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,244
- 8,567
Kweli nilimpoteza mwanangu kwa hili.Ukitaka kujua nguvu ya kioo na maajabu yake mpe mtoto ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja
Na haitatokea kamwe ukayajua yote ya Dunia hadi unaingia kaburini. Dunia Ina mambo mengi yenye kuonekana na yasiyoonekana kwa macho. Endelea kujifunza.
Alikuwa akiona mengi sana.