Jamani tuweke pembeni u-CCM na u-CHADEMA..... Eric alikuwa na vision nzuri sana....Sisi sote ni Watanzania na tuna kila sababu ya kulinda na kudumisha AMANI ya nchi yetu.....Yatakapokuja machafuko na umwagaji wa damu hayataangalia mshabiki wa CCM, CHADEMA, CUF..... Naungana nae kabisa kabisa na vision yake ya kukutanisha watanzania wote....Hasa sisi vijana ambao rahisi kushawishiwa, kudanganywa..... na kufanya mamabo hatari ...(tumeyaona MISRI, TUNISIA na sasa LIBRYA)....Kuelezana kwa ukweli mtakabali wa taifa letu!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake...AMEN
We nadhani una yako, hii ni new generation tunahitaji mabadiliko ya kweli kwa njia yoyote ile halali au haramu amani unayoitaka hiyo ndio imetufikisha hapa tulipo, tuone ladha kwanza ya kutokuwa na amani viongozi watatia akili.tukifa kuna vizazi vinakuja vitafaidi tu usijali.Jamani tuweke pembeni u-CCM na u-CHADEMA..... Eric alikuwa na vision nzuri sana....Sisi sote ni Watanzania na tuna kila sababu ya kulinda na kudumisha AMANI ya nchi yetu.....Yatakapokuja machafuko na umwagaji wa damu hayataangalia mshabiki wa CCM, CHADEMA, CUF..... Naungana nae kabisa kabisa na vision yake ya kukutanisha watanzania wote....Hasa sisi vijana ambao rahisi kushawishiwa, kudanganywa..... na kufanya mamabo hatari ...(tumeyaona MISRI, TUNISIA na sasa LIBRYA)....Kuelezana kwa ukweli mtakabali wa taifa letu!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake...AMEN
Aibuuu!! hivi alifikiri watu wote ni mandunya kama yeye! alitaka kugeuza kuwa tamasha la kisiasa ili kukandya CDM, mtu mzima kaumbuka, kajichanganya kakalia poti la mtoto hadharani!
Jamaa CCM wenyewe hawamtaki lakini analazimisha tu ili aendelee kufanya biashara zake za kuharibu maadili na kuvunja ndoa za watu!!Eric komaa na biashara zako za photoshop!PEOPLE'S...................................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Wakuu. Shigongo amekutana na nguvu ya umma. Katika tamasha lake la uzalendo, ambapo alitaka kuanza kumwaga sumu juu ya harakati / maandamano za CHADEMA. Ile anaanza tu kuongea umma ukaanza kumzumia na kumtukana ikabidi atelemke jukwaani, Ameiona na kuijua "nguvu ya umma" source tbc habari ya saa nne am
Wakuu. Shigongo amekutana na nguvu ya umma. Katika tamasha lake la uzalendo, ambapo alitaka kuanza kumwaga sumu juu ya harakati / maandamano za CHADEMA. Ile anaanza tu kuongea umma ukaanza kumzumia na kumtukana ikabidi atelemke jukwaani, Ameiona na kuijua "nguvu ya umma" source tbc habari ya saa nne am
Huko kwenye siasa amekuwa aki-struggle kwa muda mrefu, anatafuta namna ya kutoka... huko kanda ya ziwa wanamfahamu sana maana ndiko anakoendesha harakati zake za kusaka ubunge
hapo red:unatumia makalio kufikiri badala ya ubongo.......ndio maana unapost upupu hapa huna tofauti na Shigongo anayetuharibia wadogo zetu kwa kuwashawishi wafanye ngonoJamani tuweke pembeni u-CCM na u-CHADEMA..... Eric alikuwa na vision nzuri sana....Sisi sote ni Watanzania na tuna kila sababu ya kulinda na kudumisha AMANI ya nchi yetu.....Yatakapokuja machafuko na umwagaji wa damu hayataangalia mshabiki wa CCM, CHADEMA, CUF..... Naungana nae kabisa kabisa na vision yake ya kukutanisha watanzania wote....Hasa sisi vijana ambao rahisi kushawishiwa, kudanganywa..... na kufanya mamabo hatari ...(tumeyaona MISRI, TUNISIA na sasa LIBRYA)....Kuelezana kwa ukweli mtakabali wa taifa letu!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake...AMEN
Siku hizi ameacha ile kazi ya kufumania watu na wapenzi, akaingia kweye siasa? au nafanya zote?
ni kweli Uwezo wangu mdogo wa kuchambua mambo lakini unanilinganisha na nani?, na wewe mwepesi wa kushawishika!?Nenda shule Kijana...uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo kama sisismizi!!!