Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda Watanzania vichwani na wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni.
Leo hii CCM wamewapanda Watanzania vichwani na wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni.