Ngumu kuwa na rafiki wa kiume

Ngumu kuwa na rafiki wa kiume

INAWEZEKANA.
Tumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...

Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
 
Wadada wa siku hz bana wanajikutaga wao ndo wanajua sana maurafiki

Mbna mabibi zetu hawakuwa na hio kihereher ya urafk
 
Tumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...
Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
Tupo lakini ni wachache sana
 
Kwani si uwe na marafiki wa kike tuu. Simba hawezi kuwa na urafiki na swala hata siku moja.
 
Am not married nor committed to anyone
He's not married too but committed to many gals,i like him and envy wat he has mentally but not love,and yes he doesnt diserve me

I think i should run
You better take a powder before it's too late...
 
There is a difference btn like and love i think
Utofauti wake huanzia from like to love. Huwezi Ku love bila Ku like. Ila unaweza kulike na uka love baadaye like iki develop ndo huwa love.
Sasa je unauhakika you liking him haita develop?
Be aware he will manipulate your liking au wewe utaiongeza.
Hata hivyo wewe unaweza ukawa ni exceptional kama wengi wengine.
 
Kiukweli jamaa anataka tu papuchi atafune then urafiki uendelee, sometime masela tukiwa marafiki sana mnaanza kutuona kama mashoga hivi so jamaa anatoa hio nuksi tu kwahyo usimkazie kiivo hadi iwe kama ugomvi wewe mkatae then tafuta rafiki wa kike coz hakunaga urafiki wa men na women Duniani

Note: kama utaendelea nae mawasiliano lazima atakula tu, narudia tena lazima atakula tu. Nasisitiza hilo
Thank me later
 
Tumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...

Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
Niko hapa rafiki yangu
 
Unaweza kuwa unapoteza bahati yako ya ndoa kwa huyu, ukija stuka he is no longer available. Why are you giving him a cold shoulder while you have so many things in common!?
😳😳😳😳

Asante kwa ushauri ntafanya hivyo ingawa niko likizo kwenye haya maswala naimani atanielewa maana kijana anaonekana kujielewa na anakitu ambacho naamini ntavuka kwenye malengo yangu sikutaka kumpoteza kwa ajili ya hizi issues ingawa ikinibidi itabidi
 
Ndio maana nawapinga wanaopinga hawa viumbe kukeketwa i. e kukatwa antenna na kufundwa. Kesho utakuja hapa oooh nilipoteza bahati. BUMBAFUUUU
 
Ww kuna sister mmoja tulisoma naye! Akawa anaita kaka! Kaka! , sasa nikajuuliza hv nina dada wangapi!!?

Sasa huyo hata hatuna undugu wa damu hata makabila tofauti!! Nikaona isiwe tabu nikaomba mchezo , kama kawaida yetu wanawake katulia ww!!

Huku namsumbuaa!!

Sasa kuna siku kaja geto itabidili niforce kingi

Nikaanza mara romance.... Kaka ni mbaya eti.
Mara kashika matiti.......kaka acha bwna
Mavua vifuniko wa asali .....jamn kaka acha hvyoo basi

Mara tukanaza kucheza muda kidogo, mara mzee changa ndan!!

Hadi leo tunaitana kaka na dada na tunatiana vizr tu[emoji23][emoji23][emoji23]


Sisi wanaume hatuhitaji dada zaidi ya ndugu zetu wengne wote!! Ubatili!! Tu
 
Unaweza kumuelewesha tu halafu akarejea kwenye mstari "----

Mtu kukupenda au kukutaka Kimahusiano " hizo ni hisia zake tu -- haimaanishi kwamba mnapaswa kusafiri pamoja kihisia na kumkubalia kuwa wote inluv .. .

Waweza kumuueleza lengo la urafiki wako nayeye kama ni understanding person atakuelewa tu ....na kuamua kushirikiana nawewe katika future plan zako "....

Mwanamke kutongozwa katika mazingira ya utafutaji hiyo ni kawaida ...that's why kina maria carey .Celine Dion hawa wote waliwahi kuwa kwenye mahusiano na managers wao -- lakini still kazi zao zilipata mafanikio makubwa".. haimaanishi kwamba ukiwa kwenye mahusiano na mshirika mwenzako kibiashara ni lazima itachangia kuwaangusha kimalengo''....

Ijapo kuwa kuna nyakati mahusiano kama hayo huwa yana pelekea kuharibu malengo ..yakupasa ufahamu kwamba maisha tunayo ishi yana beba ajali nyingi"..... so kama umemuelewa na unaona ni right person kuwa nae inlove
Utakuwa wewe asee
 
Tumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...

Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
Nipo hapa Rafiki
 
Sijui kwa nini huyo jamaa kawa na papara kiasi hicho, alitakiwa kucheza very slow, akuaminishe kuwa he's cool na hana kabisa issues na wadada, akupe business ideas na akuweke close, huku ukidhani kuwa he's the best man out there...

Kwa status yako hakika unge-fall bila hata mtongozo, ila binafsi naamini katika pure friendship between Me n Ke, inawezekana sana tu na ni kitu chema sana. Only that boundaries must be drawn earlier.
 
Back
Top Bottom