Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 788
- 2,572
Hivi kwa nini mnapenda kuwaadhibu watu kwa hisia zao !!!!.. umeshasema mnaendana interest na mpo karibu kwa hiyo jamaa kuhisi kitu chochote ni kawaida. Ulitakiwa kuonesha kuwa haupo katika mawazo hayo na kama ni muelewa mbona mtaheshimiana tu. Umekosea kumuweka mbali na hii ilikuwa ndio time sahihi ya kuonesha maturity yako na angekuongezea credits hata kibiashara. Unaweza kuendesha hisia zako na sio za mtu mwingine PERIOD!.