Ngooo ngoooo Ngooo JF.

Ngooo ngoooo Ngooo JF.

Joined
Apr 18, 2011
Posts
20
Reaction score
8
Wana JF wote ninayofuraha kubwa sana leo hii kuachana na u guests wa JF na kuwa member kamili. Ni matumaini yangu nitajifunza mengi na kutoa changamoto nyingi kwa yale ninayo ya fahamu.
Pia msisite kunijuza kwa yale nitayoingia chaka kutokana na uchanga wangu. Ni imani yangu tupo pamoja.
 
Karibu sana Mzee wa Upekuzi, ID yako bana tamu kama JF. Jione huru na nikujuze tu kuwa umechukua uamuzi sahii kuachana na u guest! Nikupe angalizo mzee mwenzangu JF inabidi uwe na subira kidogo vinginevyo utapasua keyboard yako. Humu ndani JK wanamwita ****** je kama wewe ni JK ungejisiake? Huo ni mfano lakini yapo mengi kama hayo na mazuri ya kidaku toka jikoni mengi tu. Karibu sana.
 
Karibu sana mzee wa upekuzi... ila ni vizuri ukitujuza ulichokuja kupekua humu jamvini kwani sie humu tushazoea michango tu!!!!:spy:
 
Karibu sana kiongozi wetu!
Naona Katavi hakukupa SOSEJI maana hana funguo za friji!
Subiri sasa hivi nakutolea!
 
Back
Top Bottom